Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Aiseeee mafunzo ni hapa hapa
AFCON??TEC -HAKI
CCM-AMANI
TEC-HAKI
SHEBWABWAZ-AMANI
Unajizima data.Mbona kwenye uchaguzi haki haikutendeka na watu mlikua kimya.
AFCON - HAKIAFCON??
We unanitajataja nini...ukinitaja lazima uwe na milioni 100..bumbavu
Kama hao unaowatumia ujumbe wana werevu wa kuelewa somo!Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.
Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (0-1) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.
Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya michezo ya AFCON.
Tunamuomba kiongozi wa msafara Paul Makonda awafikishie viongozi wenzake jinsi inavyouma pindi unaponyimwa haki yako.
Pesa zetu zimepona.Afadhali yametolewa. Yangeshinda sijui yangepewa bilioni ngapi. And for what?
View attachment 3525448
Waha .... sioHao wanao mlalamikia refa wametumwa na kulipwa na mabeberu kuharibu amani ya mashindano yetu ya AFCON, mashindano yetu tutayalinda kwa gharama yeyote ile