Mpira umeisha kwa Amani wanaodai Haki haikutendeka wanataka kuvuruga michuano ya AFCON.

Mpira umeisha kwa Amani wanaodai Haki haikutendeka wanataka kuvuruga michuano ya AFCON.

TUILINDE AMAN YETU.
RREFAKACHAGUA AMAN
HATUNA BUDI KUMSHUKURU MUNGU
KYIRUDISHA AMAN N NGUMU SANA SANA
NYIE MNAOLALAMIKA YAMUUI TU THAMAN YA AMAN DUNIAN ULIZEN SUDAN..CONGO
 
Nguvu iliyotumika kuikataa ile penalty iliendana na makelele waliyopiga benchi la ufundi na wachezaji wa taifa Stars.
Hahahaha... we ms3nge umejua kunifurahisha,

Eti watu walalamika Gamond kupewa ile kadi kwa hiyo walitaka refa afanye nini sasa? na wakati alikuwa analazimisha penati hili kupindua matokeo ubao usomeke 1-1, siku nyingine awaambie wachezaji wake watumie nafasi za wazi hili wasilete vurugu kama zile hata wakinyimwa penati dk za mwisho.
 
Refa alikuwa huru na ameamua kwa haki kabisa, wanalalamika kwa sababu wamefeli
Wanalalamika nini hawa wamefungwa kwasababu wameshindwa kucheza vizuri na hawakujipanga tudumishe amani ya AFCON hiki kikundi cha watanzania wachache walio shindwa kihalali wasitake kutuvurugia amani yetu
 
Wanalalamika nini hawa wamefungwa kwasababu wameshindwa kucheza vizuri na hawakujipanga tudumishe amani ya AFCON hiki kikundi cha watanzania wachache walio shindwa kihalali wasitake kutuvurugia amani yetu
Hahaha
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya mashindano ya AFCON.

Tumuombe kiongozi wa msafara Paul Makonda awafikishie viongozi wenzake jinsi inavyouma pindi unaponyimwa haki yako.
Ni jambo zuri kwa chawa nao kupitia maumivu kama watu wengine.
 
Hahahaha... we ms3nge umejua kunifurahisha,

Eti watu walalamika Gamond kupewa ile kadi kwa hiyo walitaka refa afanye nini sasa? na wakati alikuwa analazimisha penati hili kupindua matokeo ubao usomeke 1-1, siku nyingine awaambie wachezaji wake watumie nafasi za wazi hili wasilete vurugu kama zile hata wakinyimwa penati dk za mwisho.
Gamondi anahamasusha vurugu. Anatakiwa kupewa kesi ya uhaini na CAF.
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya mashindano ya AFCON.

Tumuombe kiongozi wa msafara Paul Makonda awafikishie viongozi wenzake jinsi inavyouma pindi unaponyimwa haki yako.
Dogo Chizi sana hahahah
 
Back
Top Bottom