Mpipi wamkosesha mke

Mpipi wamkosesha mke

DEVUQUARTER-DEVUKOTA

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
352
Reaction score
117
Kuna jamaa mmoja amejaliwa mpipi mkubwa alikuwa akioga mtoni basi akapita mzee mmoja hivi na kuuona ule mpipi wa kijana na kujisemea "Hapa duniani kuna watu wamejaaliwa ebu check mzigo wa yule kijana" kisha akaenda zake.
Baada ya siku chache ikaletwa posa kumposa binti ya yule mzee, washenga wakakamilisha mambo yote ikabaki utambulisho wa mkwe mtarajiwa.
Sasa kimbembe ni siku ya utambulisho baada ya yule mzee kugundua kwamba mkwewe mtarajiwa ni yule kijana aliyekuwa akioga mtoni unaambiwa mzee uligoma kata kata kumuozesha bintiye na kumpasha live yule jamaa "kha weye kijana una wazimu nini? hivi mdushelele wote huo ulionao unategemea nikupe binti yangu?
 
sasa binti yake anaumudu, yeye nini ...?
 
mtoto wake mwenyewe kashaona huo mpipi ndo unamfaaa..kashakutana na vipipi vidogovidogo akaona hamna kitu..huo ndo wenyewe
 
huyo mzee hajatulia kwani mpipi yeye ndiye anatumia au wivu tu unamsumbua
 
Kuna jamaa mmoja amejaliwa mpipi mkubwa alikuwa akioga mtoni basi akapita mzee mmoja hivi na kuuona ule mpipi wa kijana na kujisemea "Hapa duniani kuna watu wamejaaliwa ebu check mzigo wa yule kijana" kisha akaenda zake.
Baada ya siku chache ikaletwa posa kumposa binti ya yule mzee, washenga wakakamilisha mambo yote ikabaki utambulisho wa mkwe mtarajiwa.
Sasa kimbembe ni siku ya utambulisho baada ya yule mzee kugundua kwamba mkwewe mtarajiwa ni yule kijana aliyekuwa akioga mtoni unaambiwa mzee uligoma kata kata kumuozesha bintiye na kumpasha live yule jamaa "kha weye kijana una wazimu nini? hivi mdushelele wote huo ulionao unategemea nikupe binti yangu?

yeah dume la shoka hilo...kitu inch tisa{9}...sio kidudu ka kidole cha mwisho cha mkono..! by s!na habar!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom