TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Wanabodi na Moderators heshima mbele,
Wakati harakati za uchaguzi Mkuu nchini marekani zikiendelea, Mpinzani mkubwa wa Barack Obama, Bwana Mitt Romny anakabiliwa na tuhuma nzito kama tuhuma zinazowakabili baadhi ya Viongozi waandamizi wa CCM za kuhifadhi kiasi kikubwa cha fedha nchini Uswiss. Pia anatuhumiwa kumiliki vituo vya mafuta ambavyo amevipata kwa njia ya mashaka.
Taarifa hizi zimebandikwa kwenye website ya Barack Obama inayoratibu kampeni nchini humo hivi sasa. Baadhi ya tuhuma anazokabiliwa nazo ni kama ifuatavyo:-
Kwa tuhuma hizi ni wazi kabisa chama cha Republican cha Bwana Romney hakina tofauti na Chama cheti kinachotawala, CCM kwa sababu wanachama wao wana hulka zinazofanana.
Source:-
[SUP]1 [/SUP]Barack Obama
[SUP]2[/SUP] Barack Obama
TUMBIRI (PhD, HULL Univeristy - HULL City),
tumbiri@jamiiforums.com
Wakati harakati za uchaguzi Mkuu nchini marekani zikiendelea, Mpinzani mkubwa wa Barack Obama, Bwana Mitt Romny anakabiliwa na tuhuma nzito kama tuhuma zinazowakabili baadhi ya Viongozi waandamizi wa CCM za kuhifadhi kiasi kikubwa cha fedha nchini Uswiss. Pia anatuhumiwa kumiliki vituo vya mafuta ambavyo amevipata kwa njia ya mashaka.
Taarifa hizi zimebandikwa kwenye website ya Barack Obama inayoratibu kampeni nchini humo hivi sasa. Baadhi ya tuhuma anazokabiliwa nazo ni kama ifuatavyo:-
It's a pattern of secrecy, and this is just the latest example of him trying to hide the truth from voters. There are a number of issues in play right now -- and voters deserve answers:
1) Mitt Romney refuses to release multiple years of taxes, ignoring decades of precedent.
2) He won't disclose his "bundlers," the people raising millions for his campaign.
3) He is the sole owner of a questionable shell corporation in Bermuda.
4) Until recently, Romney kept cash in a Swiss bank account.
5) According to the Globe, he hasn't been honest about when he was running Bain Capital, even though legal documents refute his claims.
Stephanie Cutter
Deputy Campaign Manager
Obama for America
Kwa tuhuma hizi ni wazi kabisa chama cha Republican cha Bwana Romney hakina tofauti na Chama cheti kinachotawala, CCM kwa sababu wanachama wao wana hulka zinazofanana.
Source:-
[SUP]1 [/SUP]Barack Obama
[SUP]2[/SUP] Barack Obama
TUMBIRI (PhD, HULL Univeristy - HULL City),
tumbiri@jamiiforums.com