Mpina: Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani siyo Uteuzi ili tupate Mawaziri Bora badala ya Bora Mawaziri!

Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Kila mtu ataelewa tu umuhimu wa KATIBA MPYA sasa, katiba iliyopo imetuletea viongozi wa hovyo sana
 
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Muendelezo wa Kauli za kukata tamaa ya kuteuliwa na pia kupigwa chini ubunge
 
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Ila hamna watu wasahaulifu kama WANASIASA wa Tanzania, sasa sijajua au madishi yao yanayumba sometimes.
 

Lakini huyu hajielewi tu ila anataka Katiba Mpya.

Mfumo usipowapa asali huwa wanapata akili.
Akili zimerudi....yupo sahihi kwa alichokosema ila chama chake hakijawa tayari bado kwa hilo.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amehoji bungeni kwanini Serikali isitumie njia ya ushindani kupata viongozi na watendaji wake wakiwemo Mawaziri badala ya uteuzi ili ipate wenye uwezo unaostahili. https://t.co/1qLj7Fs7rk
 
Ila kivyovyote huwezi sema mawaziri wawe wanashindanishwa, vipi mpinzani akishinda ? Inamaana serikali itakuwa na ajenda nyingi ko ubaki hivi hivi tu huu mfumo labda ndani ya chama wawe wanasema mtu afanye kuomba then raisi aangalie na kuwahoji kisha maamuzi ya mwisho afanye raisi kwa utashi wake

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Refer Kenya wanavyofanya. Good idea any way.
 
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Kwahiyo katiba mpya ni muhimu. Mta kuja tuu.
 
Mawaziri ni zao la wabunge, kwa mujibu wa katiba. Je, hao wabunge wenyewe wamepatikana kwa njia ya huo ushindani?
 
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Ukiwa na akili pevu na za kimataifa utaelewa vizuri bila wasiwasi hoja ni nzuri sana
 
Jamaa ako na hoja ya msingi .

Ni kweli utaratibu wa uteuzi umepitwa Na wakati.

Inapelekea kuramba magalasa mengi tu!

Na wateuliwa wanaunda timu ya kusifu na kuabudu mteuzi.
 
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina amependekeza Mawaziri wapatikane kwa njia ya Ushindani badala ya Uteuzi kama ilivyo sasa

Mpina amesema hatua Hiyo itapelekea kupata Mawaziri wenye viwango siyo mizigo

Kwanini Serikali isiache utaratibu wa ajira kwa njia ya uteuzi ili kupata watu wenye uwezo ambao hawatiliwi mashaka, ajira ipatikane kwa njia ya ushindani iwe kwa viongozi, watendaji, Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu na watendaji wengine Serikalini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Paschal Katambi akajibu “Kwa sasa Katiba yetu ya Mwaka 1977 inaeleza mfumo wa uendeshaji wa Serikali na inatambua mifumo ya uteuzi na ushindani kulingana na nafasi zinazohitajika.”
Nadhani ametoa wazo hilo baada ya kugundua kuwa hata yeye aliteuliwa kwa bahati mbaya, hakustahili!
 
Anaye mpinga Mpina ni mpumbavu,

Katika mchakato wa ushindani hata yeye hana uhakika wa kuwa waziri ila wazi ni kupata mawaziri makini

Mpina ni mjinga fulani. Kwenye katiba ya Warioba mapendekezo ya wananchi ilikuwa ni waziri asiwe mbunge, bali aombe nafasi kisha usaili ufanyike. Cha ajabu utakuta anasema katiba haileti ugali mezani.
 
Mpina anashindwa kusema moja kwa moja anaungamkono hitaji la katiba mpya.
Kile chama chao kipya bado hakijapata usajili? Namuona akiungana na zito 2025
 
Luhaga mpina aache ujuaji mwingi usio na maana yoyote ,kakoselewa na Daktari wa uchumi aache kuupapalakia uchumi anaendeleza makasiriko.

Kila mtu akijiona ni mshauri na huku ushauri anaotoa ni wa hovyo unafanya Taaluma za watu zionekane bure
Daktari wa uchumi, madelu? Tz tumekwisha!
 
Mpina ni mjinga fulani. Kwenye katiba ya Warioba mapendekezo ya wananchi ilikuwa ni waziri asiwe mbunge, bali aombe nafasi kisha usaili ufanyike. Cha ajabu utakuta anasema katiba haileti ugali mezani.
Kweli kwenye ile rasimu ya warioba original ilielezea vizuri kabisa jinsi ya kuwapata mawaziri
 
Back
Top Bottom