Ahahahaaaa! Samia anao uvavu wa kujenga hoja!? Urais wa kibongo unaamriwa na wahuni wachacheGTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Umeandika utumboGTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Samia hajui na hawezi kujenga hojaGTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Nafuu ya Mpina kuliko wewe mtoto yatima uliyeachwa na Marehemu baba yako ukijikomba kwa watawala upate kula..Hata hivyo hajawahi kuwa na akili
Bado sana kufika huko.Dkt Samia anabebwa na mfumo wa CCM, yaani udhaifu tulionao CCM ni kuwa wapiga kura bado uelewa mdogo sana hawachagui mgombea bali wanachagua chama, CCM ni dude kubwa. Kizazi chetu hiki bado uelewa mdogo sana. Kabda wabadilike this time.
Hata akishinda urais atatangazwa na nani!?GTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
ANATAKA KUONGEZA CV YAKEGTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Hakuna chama cha upinzani cha kuishinda CCM, wapiga kura wa kitanzania hawaamini ktk mgombea bali wanaamini ktk chama na chama chenyewe ni dude la CCM, upinzani kushinda kiti cha Urais kwa nchi yetu bado sana.Hata akishinda urais atatangazwa na nani!?
Mama hana uwezo wowote wa kumzidi mpina,GTs,
Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.
Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.
Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.
Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.