Mpina kakosea sana kugombea Urais

Mpina kakosea sana kugombea Urais

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,570
Reaction score
16,017
GTs,

Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.

Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.

Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.

Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
 
Kujenga hoja dhidi ya Samia? Mazingira ya siasa ya Tanzania yangekuwa level kwa upinzani kama ilivyo Kenya, Mpina angempa wakati mgumu sana Samia

Lakini anajua kabisa angegombea hata huo ubunge asingeweza kushinda, pengine anataka platform ya kumsema Samia mbele ya wananchi akizunguka nchi nzima...
 
Wapinzani wote wakimuunga mkono ikiwemo chadema wanaweza kupata KITU.
 
GTs,

Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.

Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.

Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.

Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Kwani ameshatangazwa?
 
GTs,

Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.

Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.

Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.

Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Samia hachomoki
 
Mpina kajipima kaona anauwezo wa kumshinda mgombea wa ccm ... tukiacha Tume ya uchaguzi kuwa ya ccm ,msajiri wa vyama ni ccm ,polisi ni ccm ,mahakama ni ccm . Kwani Samia anauwezo gani wa kujenga hoja ? Uchaguzi ungekuwa huru hata mimi ningegombea .
 
GTs,

Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.

Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.

Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.

Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Kujenga hoja? Kwenye ubunge anaweza kujenga hoja ila sio urais mkuu?

Nashani sababu ambayo siwezi kukupinga ni hiyo ya chini kuhusu CCM kuhusu watanzani kuamini CCM lakini Pia CCM wezi wa kura hawataruhusu upinzani kwa katiba hii waingie ikulu
Lazima reforms zifanyike

Ila hii mm naamini ni mchezo wa CCM ili duniani. Waseme Tanzania kuna upinzani na wana mpango wa kuififisha CHADEMA ndo makada wa CCM wanaenda CHAUMMA na ACT
 
Samia ndio sifuri kabisa kujenga hoja...Bora Mpina. Ungezungumza jambo lingine sio la kujenga hoja mkuu
Dkt Samia anabebwa na mfumo wa CCM, yaani udhaifu tulionao CCM ni kuwa wapiga kura bado uelewa mdogo sana hawachagui mgombea bali wanachagua chama, CCM ni dude kubwa. Kizazi chetu hiki bado uelewa mdogo sana. Kabda wabadilike this time.
 
Mpina kajipima kaona anauwezo wa kumshinda mgombea wa ccm ... tukiacha Tume ya uchaguzi kuwa ya ccm ,msajiri wa vyama ni ccm ,polisi ni ccm ,mahakama ni ccm . Kwani Samia anauwezo gani wa kujenga hoja ? Uchaguzi ungekuwa huru hata mimi ningegombea .
Ndiyo maana nikaseam hakuna chama cha upinzani cha kushindana na mgombea wa CCM, yani hilo halipo kabisa!
 
Kujenga hoja? Kwenye ubunge anaweza kujenga hoja ila sio urais mkuu?

Nashani sababu ambayo siwezi kukupinga ni hiyo ya chini kuhusu CCM kuhusu watanzani kuamini CCM lakini Pia CCM wezi wa kura hawataruhusu upinzani kwa katiba hii waingie ikulu
Lazima reforms zifanyike

Ila hii mm naamini ni mchezo wa CCM ili duniani. Waseme Tanzania kuna upinzani na wana mpango wa kuififisha CHADEMA ndo makada wa CCM wanaenda CHAUMMA na ACT
Hiyo haiwezi kuwa projecf kabisa Mpina kakurupuka. CCM kwenye urais ni big No! Je kafanyiwa vetting saa ngapi mpina kama mgombea wa urais?
 
GTs,

Mpina hana uwezo wa kujenga hoja.

Hivyo kushinda urais ni ngumu mno.

Alipaswa abaki kwenye ubunge tu.

Sababu ni kuwa watanzania kwa sehemu kubwa bado wanaamini CCM na hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushinda kiti cha Urais kwa mgombea yeyote wa CCM.
Kwani ACT walikuwa hawana mgombea urais ?
 
Mipango tu kama ya chauma hii inakuja baada ya chadema kuwa seriously
 
Dkt Samia anabebwa na mfumo wa CCM, yaani udhaifu tulionao CCM ni kuwa wapiga kura bado uelewa mdogo sana hawachagui mgombea bali wanachagua chama, CCM ni dude kubwa. Kizazi chetu hiki bado uelewa mdogo sana. Kabda wabadilike this time.
Kweli mkuu
 
CCM wangekuwa wanajiamini wangeweka uchaguzi huru , uone meza inavyopinduka juu chini
 
Back
Top Bottom