Mpina: Fedha za maendeleo za kilimo zimepigwa

Mpina: Fedha za maendeleo za kilimo zimepigwa

Terrible teen as your name very pathetic and imbecile

USSR
Ninyi pro shetani mtulie tu nchi inakwenda na hatokaa arudi tena wala wasukuma hatuwapi tena hii nchi
 
Mpina atatufaa sana 2025.Uwezo wake hauna mashaka kabisa.ukiwajumilisha wabunge wengine wote wa ccm ndiyo watamkalibia kidogo uwezo wake.2025 twende na mpina kwa maendeleo ya Tanzania.
Uwa najiuliza alifanya nini hadi JPM akamuona jamaa ni kichaa kuliko yeye.
 
Hapa jamaa yuko mbele sana hapa anachambua hadi Bashe anakalia moja

Kumbe walipiga pesa za kilimo za maendeleo,walizibadilishia matumizi,upigaji

Mfumo wa kufunga GPS ni kutafuta matumizi upigaji hatuna fungu hilo ni matumizi mabaya huku hakuna pesa

Mfumo wa kukusanya data za wakulima hasa ugawaji wa mbolea uliruhusu wizi mkubwa wa pesa

My take,mpina ni Lisu kumi na Dk slaa kumi

USSR
Tumekandwa ten!!![emoji1787]
 
Hapa jamaa yuko mbele sana hapa anachambua hadi Bashe anakalia moja

Kumbe walipiga pesa za kilimo za maendeleo,walizibadilishia matumizi,upigaji

Mfumo wa kufunga GPS ni kutafuta matumizi upigaji hatuna fungu hilo ni matumizi mabaya huku hakuna pesa

Mfumo wa kukusanya data za wakulima hasa ugawaji wa mbolea uliruhusu wizi mkubwa wa pesa

My take,mpina ni Lisu kumi na Dk slaa kumi

USSR
Yeye Lissu anasemaje kuhusu Mpina?
 
OK, MPE maua yake kwanza. Mpina ndiye mwanasiasa kwa sasa Tanzania'
Kuwatetea Watanzania ni kazi ya kujitoa akili maana hata hawajui wanataka nini. Huoni hata makamanda wamebwaga manyanga hatimaye....Imagine mtu mpaka unamiminiwa risasi lakini mijitu unayojaribu kuitetea ipo ipo tu haijitambui!

Majizi ya nchi hii yataiba mpaka yatakapochoka menyewe tu 🚮🚮🚮
 
Mpina au mpima samaki kwa rula tena aliyekwishapikwa au kukaangwa. Swali alikuwa hajui wanatokea wapi.
Siasa za maji taka. Jikite kwenye hoja ya sasa usijitoe ufahamu. Kwamba anachokiongea wewe huoni uzito wake
 
Kuwatetea Watanzania ni kazi ya kujitoa akili maana hata hawajui wanataka nini. Huoni hata makamanda wamebwaga manyanga hatimaye....Imagine mtu mpaka unamiminiwa risasi lakini mijitu unayojaribu kuitetea ipo ipo tu haijitambui!

Majizi ya nchi hii yataiba mpaka yatakapochoka menyewe tu 🚮🚮🚮
Sahihi mkuu. Mbinu ya tenga utawale imeziathiri sana siasa za Tanzania. Watanzania hawajui hasa wanachokitaka.
 
Ninyi pro shetani mtulie tu nchi inakwenda na hatokaa arudi tena wala wasukuma hatuwapi tena hii nchi
Wewe na mama yako alietumbuliwa cheti feki sio!

Mbwa katika ubora wao..
 
Back
Top Bottom