GE2025 Mpina (ACT) na CHAUMMA ni projects za watu

GE2025 Mpina (ACT) na CHAUMMA ni projects za watu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Chadema ya Mbowe ilikuwa ni CCM project oriented,
CHADEMA haikuwa na mlengo wa CCM hata chini ya Mbowe. Kilichotokea ni Mbowe kukaa mno madarakani, akalewa na kujiona yeye ndiye CHADEMA. Bila kusahau kuwa ni kweli Mabowe ana asili ya kupenda kujinufaisha binafsi kwenye siasa.
 
Akili zitawakaa vzr tuu, msifieni polepole sasa hv afu siku akihama ccm na kuhamia pengine tofauti na chadema mje na matusi yenu kama mnavyofanya kwa Mpina sasa hv
Hakuna mwanachadema anaweza kumsifia Polepole mtu ambaye alishirikiana bega kwa bega na dhalim Magufuli kuihujumu Chadema, watu wanachofanya ni kuchochea moto tu maccm wazidi kuhasimiana.
 
Umesema uongo lazima tukanushe.
Hakuna uongo hapo, labla useme hutaki kuupokea ukweli.

Mtu akiongea ukweli khs chadema mnaanza kusema huyo ni ccm, mm sina chama na siasa nazisomea hapa JF tofauti na hvy sijui chochote kile.
 
Kipindi cha mwenyekiti mboe uyu angekuj chadema ila now chadema akuna dalali ccm wamempeleka kwa mtot pedwa zitto
 
Hakuna uongo hapo, labla useme hutaki kuupokea ukweli.

Mtu akiongea ukweli khs chadema mnaanza kusema huyo ni ccm, mm sina chama na siasa nazisomea hapa JF tofauti na hvy sijui chochote kile.
Sasa Chadema wachukie Mpina kwenda kugombea ACT Wazalendo kwani wao Chadema wanashiriki huu uchaguzi?
 
Upo sahihi, kuna ujinga ACT eti wamekataa DEDs wasisimamie uchaguzi na badala yake DEDs wanateua wakuu wa idara waliochini yao pamoja na officers wengine, yaani HoD atakataa maagizo ya DED? eti unaita kuna uchaguzi badala ya utapeli na ulaghai tupu
Ilitakiwa msimamiz apatikane vip
 
Hana cha kupoteza si ni mbunge wa kitaifa mtarajiwa kwenye zile nafasi zetu 10
Mpina kajivua nguo ila inawezekana akujua maana Zitto ndio mtu wa kati akumuambia ukweli chama cha nani, ila ningekuwa Mpina ningejiuzuru kabla hata uchaguzi ili alinde uaminifu wake kwa watanzania.
za
 
Sidhani kama CHADEMA walitaka aende kwao kwa sababu msimamo wao ni kutoshiriki uchaguzi. ACT siyo chama cha upinzani tena. Huku bara, ni kama hakipo isipokuwa kibaraka Zitto na wafuasi wachache sana. Visiwani walishaingia kwenye serikali ya umoja hivyo usitegemee tena wajipinge wenyewe...

sasa kama sio chama cha upinzani kwanini kila kukicha mada ni ACT iwe Twitter,iwe Fb iwe JF kwanini munateseka?
 
Mi naheshimu mawazo ya kila mtu ikiwa ni haki yake kikatiba, Mpina kaamua kwenda ACT uamuzi wake uheshimiwe

Na cha msingi zaidi tukutane kwenye sanduku la Kura

Sipendi siasa iliyopoa acha watu wachapane kwa hoja na majukwaani tuone nani ana sera bora

Raha ya uchaguzi uchangamke sio uchaguzi utafikiri mnaenda kwenye ndoa ya mkeka
 
Upo sahihi, kuna ujinga ACT eti wamekataa DEDs wasisimamie uchaguzi na badala yake DEDs wanateua wakuu wa idara waliochini yao pamoja na officers wengine, yaani HoD atakataa maagizo ya DED? eti unaita kuna uchaguzi badala ya utapeli na ulaghai tupu
Ila nchi hii Kiboko... Najikuta najibu maswali mengi sana watoto wa shule wakipata mashaka na future zao!
 
Back
Top Bottom