Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,780
- 26,409
Magufuli amegonga asilimia 84 za kura. Shindano limeshafungwa. Akina Yericko Nyerere, Ben Saanane n.k sasa chali, ndembendembe kifo cha mende, kwisha kazi yao.
Bwana Yaheri Mungu, naomba unielekeze jinsi ya kutazama hayo matokeo. Ahsante.
wachana nazo....... fanya mambo ingine mbwa ukimjua jina hakusumbuiKama hiki kinachoendelea kuhusu tuzo hizi za Forbes ni jambo la kweli,binafsi natamka wazi kuzidharau tuzo hizi na nimepoteza kabisa imani na waandaji wa tuzo hizi.
Napendekeza uchunguzi ufanyike juu ya nama nzima ya kuwapata washiriki wa tuzo hii maana naona mchakato huu umefanywa bila weledi na hawaitendei haki Africa na watu wake.
Nina imani hata waandaji wa Miss Tanzania wanaweza kuwa makini kuliko waandaji wa hii tuzo.
Ha ha ha, sasa msemo ndio umekua huu? Na bado; utaumia sana kabla ya 2020, utakapopata wasaa wa kuzungusha mikono.Kama hiki kinachoendelea kuhusu tuzo hizi za Forbes ni jambo la kweli,binafsi natamka wazi kuzidharau tuzo hizi na nimepoteza kabisa imani na waandaji wa tuzo hizi.
Napendekeza uchunguzi ufanyike juu ya nama nzima ya kuwapata washiriki wa tuzo hii maana naona mchakato huu umefanywa bila weledi na hawaitendei haki Africa na watu wake.
Nina imani hata waandaji wa Miss Tanzania wanaweza kuwa makini kuliko waandaji wa hii tuzo.