Mpiga Picha Mweusi Azomewa Kwenye Mkutano wa Republicans!

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
Mfuasi wa Ron Paul mara kabla ya kutolewa kwenye Mkutano Mkuu wa Republicans jana.....

Republicans ni wabaguzi. Hawajali maslahi ya maskini, weusi au wenye rangi!
Hebu ona yaliyotokea kwenye mkutano wao wa kumteua mgombea Rais. Mpiga picha mweusi, mwanamke, karushiwa karanga na kuambiwa, "Hivyo ndivyo tunavyolisha wanyama!"

Juzi, Romney alisema kuwa hakuna aliyeuliza kuhusu cheti chake cha kuzaliwa. Hiyo ni statement ya kibaguzi! akimaanisha kwa kuwa yeye ni mzungu...
Kwa habari zaidi bofyalo hapa.....Republican Convention marred by racist act against CNN black camerawoman - National Political Buzz | Examiner.com
 
Good wanazidi kujimaliza hata kabla ya kuingia dimbani. Kama wamarekani watakuwa wehu wachague Republicans waliozamisha nchi ile shauri yao. Obama akishindwa namshauri aende China akafanye kazi ya kufundisha wachina mambo ya uongozi.
 
Good wanazidi kujimaliza hata kabla ya kuingia dimbani. Kama wamarekani watakuwa wehu wachague Republicans waliozamisha nchi ile shauri yao. Obama akishindwa namshauri aende China akafanye kazi ya kufundisha wachina mambo ya uongozi.

Alizomewa kwa vile rangi yake ni nyeusi au alizomewa kwa sababu zingine?
 
tunajiaweka wenyewe kwenye kikaango

sidhani kuwa alizomewa sababu ya rangi

sometimes hawa ndugu zetu hata akikamatwa kwa kosa la kweli, cha kwanza anakimbilia rangi............ you wont stop being regarded as inferior by continuously emphasizing that you are inferior
 
Democrats ni watu wa ajabu sana. Yaani wako so hung up on race kiasi kwamba nadhani wao ndiyo racists wakubwa na wanachofanya ni ku project hizo biases zao kwa kuwatupia shutuma Republicans.

Sasa hebu ona huyu jinga wa yahoo. How can you even joke about something like that? Na mimi nimeshasema mara mia kidogo hapa kuwa huyo Obama akishindwa huu uchaguzi watu mtalia kuwa kashindwa kwa sababu ya ubaguzi.

Yahoo News' Washington bureau chief was fired Wednesday after he was caught on a hot mic joking that Republicans are "happy to have a party" while black people drown.


The comment was made by David Chalian during live coverage of the Republican National Convention in Tampa, and was an apparent reference to the convention getting underway while a tropical storm-turned-hurricane barreled toward the Gulf Coast.


"They are happy to have a party with black people drowning," said a voice off-camera, later identified as Chalian, as video of the Romneys played on screen. Other people could be heard laughing at the comment.


A Yahoo! spokesperson confirmed to FoxNews.com that Chalian was let go, and said the company has apologized to Romney and his staff.


"David Chalian's statement was inappropriate and does not represent the views of Yahoo!. He has been terminated effective immediately. We have already reached out to the Romney campaign, and we apologize to Mitt Romney, his staff, their supporters and anyone who was offended," the spokesperson said in a statement.

Chalian posted his own apology later Wednedsay on Twitter: "I am profoundly sorry for making an inappropriate and thoughtless joke."

Chalian used to work for ABC before moving on to serve as the political director at "PBS NewsHour" and eventually work for Yahoo News.


He appeared to still be employed by the company as of Wednesday morning, having posted on his Facebook page about a "great conversation" he had with Romney's "campaign brass" in Tampa.

 
Nn mtu hadi karushiwa karanga? Ama unataka arushiwe hadi ndizi ndio utajua kuwa wanamaanisha nini?

Ushahidi uko wapi kuwa karushiwa karanga kwa sababu ngozi yake ni nyeusi?

Na kwa nini yeye tu ilhali weusi ambao ni Democrats kama akina Donna Brazille na Roland Martin wapo kwenye hiyo convention?

Acheni victim mentality nyinyi. Siyo kila kitu kinachomtokea mweusi sababu ni ubaguzi tu.
 
Democrats ni watu wa ajabu sana. Yaani wako so hung up on race kiasi kwamba nadhani wao ndiyo racists wakubwa na wanachofanya ni ku project hizo biases zao kwa kuwatupia shutuma Republicans.

Sasa hebu ona huyu jinga wa yahoo. How can you even joke about something like that? Na mimi nimeshasema mara mia kidogo hapa kuwa huyo Obama akishindwa huu uchaguzi watu mtalia kuwa kashindwa kwa sababu ya ubaguzi.


wanatumia token ya rangi kugawa watu zaidi
 
tunajiaweka wenyewe kwenye kikaango

sidhani kuwa alizomewa sababu ya rangi

sometimes hawa ndugu zetu hata akikamatwa kwa kosa la kweli, cha kwanza anakimbilia rangi............ you wont stop being regarded as inferior by continuously emphasizing that you are inferior

Sema wewe bana maana sie wengine tukisema tunaonekana mahayawani.
 
tunajiaweka wenyewe kwenye kikaango

sidhani kuwa alizomewa sababu ya rangi

sometimes hawa ndugu zetu hata akikamatwa kwa kosa la kweli, cha kwanza anakimbilia rangi............ you wont stop being regarded as inferior by continuously emphasizing that you are inferior

How can it not be racist when they called her an animal? The true colors of the Republican party came out and showed us how women/ blacks/ hispanics & minorities are viewed.
 
How can it not be racist when they called her an animal? The true colors of the Republican party came out and showed us how women/ blacks/ hispanics & minorities are viewed.

una ushahidi? au na wewe umezama kwenye siasa za makimba za mitt na barack
 
Ushahidi uko wapi kuwa karushiwa karanga kwa sababu ngozi yake ni nyeusi?

Na kwa nini yeye tu ilhali weusi ambao ni Democrats kama akina Donna Brazille na Roland Martin wapo kwenye hiyo convention?

Acheni victim mentality nyinyi. Siyo kila kitu kinachomtokea mweusi sababu ni ubaguzi tu.
"Hivyo ndivyo tunavyolisha wanyama!". Is that not enough Mr Judge?
 
Democrats ni watu wa ajabu sana. Yaani wako so hung up on race kiasi kwamba nadhani wao ndiyo racists wakubwa na wanachofanya ni ku project hizo biases zao kwa kuwatupia shutuma Republicans.

Sasa hebu ona huyu jinga wa yahoo. How can you even joke about something like that? Na mimi nimeshasema mara mia kidogo hapa kuwa huyo Obama akishindwa huu uchaguzi watu mtalia kuwa kashindwa kwa sababu ya ubaguzi.



watu wengine bana...sasa mpiga picha mweusi katukanwa afu unasema democrats ndio racists.....:sleepy:
 
Ushahidi uko wapi kuwa karushiwa karanga kwa sababu ngozi yake ni nyeusi?

Na kwa nini yeye tu ilhali weusi ambao ni Democrats kama akina Donna Brazille na Roland Martin wapo kwenye hiyo convention?

Acheni victim mentality nyinyi. Siyo kila kitu kinachomtokea mweusi sababu ni ubaguzi tu.
haya mambo ya ushahidi ndio maana wakina mramba wateendelea kupeta mahakmani...kuna msela mmoja alikuwa anakanyagiwa mkewe...watu wanamuambia anabisha anawaambia walete ushahidi...siku moja jamaa walikuwa wanakula deo kumbe mkewe jamaa alikuwa anavunja amri ya 6 na mpango wa kando...akaitwa jamaa.....

jamaa alipoona akaendelea kubisha akasema mnaniambia mke wangu anazini na mipango ya kando.....mbona pale naona kama imeingia kwenye tundu jingine?......aisee akaachwa na akili zake......

Angalizo:huu mfano hausiani hata kidogo na nyani ngabu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom