Afungwa jela miezi sita kwa kupiga picha kwenye mkutano wa hadhara wa CCM!

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,320
Hebu watu wa sheria mtujuze hapa...
Bw Felix Mtenga ambaye ni mpiga picha na mwandishi wa habari wilayani Rombo amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kupiga picha kwenye mkutano wa CCM bila kibali!!!

Hivi waandishi wanahitaji vibali kupiga picha kwenye mikutano ya hadhara?!!!
 
Inabidi majudge waifanyie review haraka hii kesi na ikibidi huy hakimu arudi ten shule au apitishwe law school,hiii ni public event,haiitaji kibali cha mtu kupiga picha,labda kama walikuwa wanafanya tambiko la siri na watu wakakatazwa kuchukua pich nahiyo still isingekuwa criminal offence,kuna wakati uwa najiuliza hivi mahakimu na hasahasa ma PCM uwa wanatumia sheria za nchi gani kuhukumu baadhi ya kesi,na kesi kama hiyo charge ni ipi?
 
Akili za ccm ni kama Samuel Sitta, siku 1 bungeni alisema kituo cha ITV kishuulikiwe eti kwa sababu kimetoa mwanya kwa wachambuzi mbali mbali wa siasa kuhojiwa mambo mbali mbali kwa mustakbali wa siasa za Tanzania.
 
Inabidi majudge waifanyie review haraka hii kesi na ikibidi huy hakimu arudi ten shule au apitishwe law school,hiii ni public event,haiitaji kibali cha mtu kupiga picha,labda kama walikuwa wanafanya tambiko la siri na watu wakakatazwa kuchukua pich nahiyo still isingekuwa criminal offence,kuna wakati uwa najiuliza hivi mahakimu na hasahasa ma PCM uwa wanatumia sheria za nchi gani kuhukumu baadhi ya kesi,na kesi kama hiyo charge ni ipi?

Hahahaaaaa wewe jamaa una vituko sana
 
Inashangaza kusikia mtu kufungwa kwa kupiga picha,labda kama kuna jambo jingine ambalo anashitakiwa nalo si kupiga picha pekee.
 
SHERIA YA TANGANYIKA IMEPALALAIZI UPANDE MMOJA..COZ Sheria za Tanganyika zipo hai kwa watu masikini wasio na kitu..Lakini kwa wang'oa meno,kucha, wezi wa tembo, wauza madawa ya kulevya nk sheria si hai..inatia hasira sana kwa kuchama ambago gumezeeka halafu watu wanaendelea kuchagua lkn 1day Yes
 
Ukawa msaidieni huyo jamaa tena mumsaidie kiwelikweli sio utani,jaribuni kutumia mawakili wenu katika kuwasaidia wananchi ,tena iwe bure ,kuna waTz wengi hawana uwezo wa kuweka wakili,hata Serikali ambayo inatakiwa ikiwa mtu hana wakili basi serikali imuwekee lakini hilo halitekelezwi na uonevu unaachwa unapita ,shime vyama vya upinzani muwe kesi kama hizi mnazilia mguu. Naamini uwezo mnao.
 
Inabidi majudge waifanyie review haraka hii kesi na ikibidi huy hakimu arudi ten shule au apitishwe law school,hiii ni public event,haiitaji kibali cha mtu kupiga picha,labda kama walikuwa wanafanya tambiko la siri na watu wakakatazwa kuchukua pich nahiyo still isingekuwa criminal offence,kuna wakati uwa najiuliza hivi mahakimu na hasahasa ma PCM uwa wanatumia sheria za nchi gani kuhukumu baadhi ya kesi,na kesi kama hiyo charge ni ipi?

Mwenyewe nimeshangaa sana mkuu. Sina namba ya Selasini ningemwambia akaangalia namna ya kusaidia jamaa
 
Utakuwa uonevu uliopitiliza.Wahalifu nchi hii wapo salama kuliko raia wena.Hii nchi sijui inaelekea wapi!
 
Back
Top Bottom