Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Salamu wakuu kwanza
Bila kupoteza mda Leo nimeamkia kwenye kutafuta riziki nimekuja kwenye sherehe ya ndoa hapa nikasema nipige pesa Leo Kwa Sana cha ajab sherehe inaanza tu.. Jamaa kachukua microphone na kutangaza mpiga picha hapa ni mimi tu.. Nashindwa Ata kumalizia.. Naombeni ushauri.. Nitoke au nibaki?
Bila kupoteza mda Leo nimeamkia kwenye kutafuta riziki nimekuja kwenye sherehe ya ndoa hapa nikasema nipige pesa Leo Kwa Sana cha ajab sherehe inaanza tu.. Jamaa kachukua microphone na kutangaza mpiga picha hapa ni mimi tu.. Nashindwa Ata kumalizia.. Naombeni ushauri.. Nitoke au nibaki?