Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Wana JF, nimekuwa nikifwatilia kwa karibu hii biashara ya VODACOM ya kutuma hela kwa njia ya MPESA, kitu ambacho nimeshindwa kuelewa au kujua kama kipo ni swala zima la ukusanyaji wa kodi ya mapato kutoka kwenye wakala wote wa MPESA. Kimsingi, na endapo nitakuwa nimekosea naruhusu kukosolewa, ni
kwamba mpaka leo TRA imeshindwa kuweka systems in place za kukusanya kodi kutoka kwenye wakala wa MPESA.
Je, hii ni deliberate move au ni mpango wa mtu au ni uzembe tu wa TRA au ni vipi?
Mh Zitto kabwe juzi amezungumzia AIRTEL, je kamati yake hili hawajaliona au?
Wana JF naomba tulidadili hili.
kwamba mpaka leo TRA imeshindwa kuweka systems in place za kukusanya kodi kutoka kwenye wakala wa MPESA.
Je, hii ni deliberate move au ni mpango wa mtu au ni uzembe tu wa TRA au ni vipi?
Mh Zitto kabwe juzi amezungumzia AIRTEL, je kamati yake hili hawajaliona au?
Wana JF naomba tulidadili hili.