Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,740
Long time guys niliwamiss, but naamini mko poa

Back to the topic, hapa ni kuomba ushauri, before my marriage nilikua na mpenzi na tulipendana sana but haikua bahati yake kuolewa na mimi na wife alimfahamu hata kwenye wedding yetu alihudhuria.

Miaka mitatu iliyopita alipata nafasi ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi kule Korea na ana mkataba wa seven years actually tunawasiliana vyema hata hunitumia zawadi mbalimbali na tumekua karibu sana kwa mawasiliano.

Tatizo juzi kaniomba nikamsalimie huko na yuko tayari kunitumia ticket muda wowote nitakaokua tayari,najiuliza niende au nisiende coz najua bado ananipenda sana na alishatamka wazi hawezi kiniacha, sasa niko njia panda.
 
Usiende kama unajua anakutega, but kama mkeo humuheshimu na humjali, nenda
 
Wengi wetu tumeoa kisa umri umefika na mabinti pia ni umri na uoga unawaingiza kwenye ndoa ila hatujui nini hasa maana ya ndoa ndio maana tumefikia hapa hatujui nafasi zetu,mleta uzi fikiria mkeo kauliza swali kama hili kwa rafiki zake lazima ujue umeoa chuma chakavu.
Shukrani JF kwa hizi ID fake tunajificha nyuma ya keyboard hata wake zetu wakipita hawatuoni.
 
Huko unaenda kufata nini? Kama mke wako akuridhishe si bora unamuambia ukweli!!!!! Leo x kesho atakua x².
Kumbuka mke wako na ujue kusoma barua ya kalamu nyeupe
kila la kheri
 
Kwa kuwa alihudhuria harusi yako, mwambie akutumie 2 tickets, we na waifu wako. Pia akutumie kitita cha kutosha kulala kwa hotel angalao siku mbili. Hii yote ni security kwa waifu wako asije lia kilio cha mbwa kidomo juu huko korea.

Ukifika kule, waifu ajue kuwa yawezekana ukalipia fadhila kule. Ikitokea umeombwa kulipa fadhila achukulie tu ka rafiki yake na kikitokea baraka yaani kitoto akichukulie ka chake pia. Kwenda Korea watu 2 si mchezo, na urafiki utadumu na amani itakuwepo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom