MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
- Thread starter
- #41
Kwa punishment niliyoitoa jana nafikiri nimefanya jambo la kiume, kwanza nilianzia beach huko huko wote wawili na beach boy, then home nikampa vitasa ndiyo akafunga bag nikampa aondoke.Nasikitika kusema kuwa kwa kufikia hapo umeshapoteza sehemu kubwa ya uanamume wako......ni dhahiri kuwa huyo binti anakuona mwanaume lakini haoni uanamume ndani yako......na uanaume unaonekana kwa matendo ya kiume.......na matendo ya kiume huonenakana pale unaporuhusu akili yako ifanye kazi badala ya moyo.......kwani moyo hupofusha akili ........
Think big take control of your destiny.....