Kupenda si upumbavu, hata wengine wanatamani, hongera mwaya na mahaba NIUE... Mpendane Kama ulimi na mate.......
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
ujue kila kitu kinachofanyika chini ya jua kinaratibiwa na MUNGU ndio maana nikasema nikijaliwa,maana najijinga kisaikoloji ni namnagani nitaishi nae wakati alisha nichoma moyo lakin bado nampenda.
Haha km mtu hakutaki hata ukifata ni kazi bure..nakumbuka nilifunga safari kwenda kurekebisha penzi alakn nikaambulia kufungiwa milango..nikahisi tamthilia kumbe kweli..mapenzi nux..
Hahhahhahaha pole jamani. But kidume hata hujakata tamaa au?
umri umri umri, dogo aliachwa sasa ameombwa msamaha bana!
Juhudi ndo zinaishia ishia...make mechoka ati..
kuna rafiki yangu mmoja alishaniambia wanaume sisi ni mabwege
Jikaze tu u-move on, hakuna kitu. kigumu kama kumlazimisha mtu akupende. Just let her go
kuna rafiki yangu mmoja alishaniambia wanaume sisi ni mabwege
Ukweli ndio huo mkuu utakataa lakini mwisho wa siku utakubaliana na mimi,Eva alimrubuni vp Adam?Mbona tunaanza kutukanana tena jamani kulikoni
Ukweli ndio huo mkuu utakataa lakini mwisho wa siku utakubaliana na mimi,Eva alimrubuni vp Adam?
Niliachwa Jumatano nilipitia maumivu yasiyoelezeka, nilijiona sina thamani ila Ninafuraha sana mda huu jioni hii kaniomba msamaha tumerudiana and I,m So Happy,
ila nilikuwa naumia Sana ila uzuri karudi kwangu na nimeisha msamehe I hope for the best for Both Of Us. She's my Future Wife