demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi
jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.
Bora akuombe...shida mwanamke akisema 'nikopeshe' na wewe ukaamini 'umemkopesha'...
aliwahi kunikopesha elfu 20 na hata hivyo kama unampenda mpe.maana hata magari sisi.wanaume tunahonga na majumba tena ya kifahari itakuwaje laki 2.hapana chezea mbunye
Kata pochi upate penzi...
huwaga hasemi
Bora kudate na wazee they have no complain at all jamani,
Bora kudate na wazee they have no complain at all jamani,
sorry, elfu 2
Hehehehe... Elfu 2 pia waihesabia na ww..?! Anyway,umuulize hiyo pesa anataka kufanyia nini ili uwe comfortable kuitoa..
Kwani nyie wanafunzi? wanafunzi ndio wanakopeshana, Kama fedha unayo muulize tu anataka za nini? ukiridhika mpatie.kuna jamaa yangu alikuwa akimkopesha demu wake pesa..anadai zaidi ya Majembe Auction Mart..nilimwambia huyo demu mtaachana tu na kweli ikawa hivyo, huwa siwezi kumkopesha demu pesa!!
nauli ya kuendea kazini.
kama ulishawahi kumpa elfu 200, ndo laki mbili hiyo kama hujui