Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

chaUkucha

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
3,382
Reaction score
1,220
Demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi .

Jana kaniomba laki 2 nikashtuka kwa vile hajawahi kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi.

Ushauri tafadhali.
 
Kuna umuhimu huo kweli?

to me sioni kama ina shida otherwise ukubali kuwa mtaji coz utazitoa mara kwa mara kiwango kikubwa bila kujua zinafanyiwa nini?kama hataki kuulizwa za nini?atafute kwa jasho lake na kutumia za kwake
 
Katika miezi hii mitano ambayo hamjaonana matumizi yake yameongezeka ndiyo sababu anahitaji kiasi kikubwa.
 
demu wangu huyu nimekuwa
naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200
siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya
kazi

jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa
kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa
nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.

kwakuwa hajawai kukuomba kiasi hicho mpe maana kweli wenda ana shida kubwa. na usipompa jibu unalo atakapoitoa. mbona kakuomba ndogo?
 
demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi

jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.
kama ulishawahi kumpa elfu 200, ndo laki mbili hiyo kama hujui
 
Back
Top Bottom