Mpenzi wangu kanikataa live leo

Kitendo cha mwanamke kukubali kuja sehemu ulipo, na kukaa na wewe mkiwa mpo nyie wawili tu, hiyo ni dalili kubwa sana kwamba huyo mwanamke anavutiwa na wewe na ukienda nae vizuri unamla kiulaini kabisa. Kumbuka, ana wanaume wengine 37 wanaomsumbua kila saa ila kawaacha kaja kwako. We usimsikilize anachosema, maana wanawake hata wao huwa hawaelewi wanachotaka! Unachofeli wewe ni jinsi ya ku transition kutoka kwenye kukaa tu mkipiga stori hadi kujikuta uchi kitandani. Hapo ndio unatakiwa kupafanyia kazi.
Asante mkuu barikiwa sana kwa ujumbe wako.
 
hii nyuzi imenikumbisha mbali sana.. kuna manzi nilimtokeaga ... Nikadate naye kama wiki tatu ivi akaanza kejeli sijui wewe ni mtu wa ajabu sana sijui. Angekuwa mwingine hapa kuonana tu angeshanirukia hapa ..akanisifia ooh sijui wewe unaonekana unaheshima sana yani hata kunishika shika yani una kaa mbali na mimi

Aiseee alinitia hasira sana nikajiona mimi ni boya kinyamaaa... Kmmk nikaanza kumuonyesha makucha yangu... Kila tukionana lazima ninywe mate na kumchezea chezea... Nikaomba mechi aliniruka miata 1000 nikamlia timingi nikamtoa out akakubali..

Nikaenda kujilia huko kiulani bila taab.. siku za mbele nilichakaza sana yule manzi Mpaka alikuwa anaweweseka akiimba nyimbo ya willy paul ft. Nandy hallelujah/mkunaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwanza kwa yalio kukuta ila wewe ni mpuuzi kwan wasichana wa Siku hiz wanatufanya boyz kama bank au supermarket kwahy na wew ukataka kumla mzigo ila yey nadhan alikuwa Tatar na mtu mwingine alivyoona kuwa amekula vingi toka kwako alafu sehemu nyingine ipo kaamua akumwage bwege kama wew maana kitu kama hiki ndy kiwe fundisho kwako na kwa wengine msio jua tabia za girlz wa sasa

Asante

Think before u do.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mabinti wa sasa hawaaminiki, lakini na yeye asije rogwa akatemana na mtu wake huko harafu aje kwangu,
Sijui tu...
 
hii nyuzi imenikumbisha mbali sana.. kuna manzi nilimtokeaga ... Nikadate naye kama wiki tatu ivi akaanza kejeli sijui wewe ni mtu wa ajabu sana sijui. Angekuwa mwingine hapa kuonana tu angeshanirukia hapa ..akanisifia ooh sijui wewe unaonekana unaheshima sana yani hata kunishika shika yani una kaa mbali na mimi

Aiseee alinitia hasira sana nikajiona mimi ni boya kinyamaaa... Kmmk nikaanza kumuonyesha makucha yangu... Kila tukionana lazima ninywe mate na kumchezea chezea... Nikaomba mechi aliniruka miata 1000 nikamlia timingi nikamtoa out akakubali..

Nikaenda kujilia huko kiulani bila taab.. siku za mbele nilichakaza sana yule manzi Mpaka alikuwa anaweweseka akiimba nyimbo ya willy paul ft. Nandy hallelujah/mkunaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera yako mkuu kwa kumla kimasihara
 
Mkuu usiwe mkali sana kwa huyu dogo, ni kwamba tu kuna vitu vichache hajavielewa kwenye hii game ila yuko kwenye laiti tlaki. Kuna malofa hata kuwa tu na demu wa uongo na kweli wameshindwa sembuse huyu?
Hapo sasa naona jamaa ananideal kwelikweli utafikiri mi ndo nimekuwa wa kwanza
 
Uzuri wangu huwa sipendi kuforce kama hapendi anaacha.
😂 Hamna noma mkuu mi nisha temana nae wala sitaki hoja nae
Mkuu hawa mabinti wa sasaivi unatakiwa uende nao kijanja sana na kwa timing ya hali ya juu.

Unapoanzana na demu, hasa kama demu mwenyewe ni kisu, lets say umechukua namba yake mkaanza kuwasiliana na kuchati chati mpaka kutoana out, tambua kwamba una kipindi kifupi sana cha kumla huyo demu kabla hajashtuka na akili kumkaa sawa, au kabla baharia mwingine kati ya wale 37 hajakuovateki!

Mfano mimi muda niliojiwekea maximum ni wiki 2. Nikianzana na demu leo, ndani ya wiki mbili za kwanza kama sijala mzigo naachana nae. Maana kadri siku zinavyoenda ndio inavyozidi kuwa vigumu kumla na hapo ataanza kukutia gharama zisizo na kichwa wala miguu. Pia ataanza kukuzoea na kukuona kama rafiki ake wakati we ni lifisi lenye uchu. Hapo ataanza kukueleza matatizo yake na utajikuta unaanza kumsikiliza na kumsaidia. Wakati huo yeye anaanza kukuona lofa na anaegemea kwa jamaa wengine unaanza kushangaa simu zako hazipokelewi meseji hazijibiwi mpaka akiwa na shida.
 
Habari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana.

Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida.

Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha kushangaza hatujawahi kufanya mapenzi toka tuwe kwenye mahusiano yetu.

Nimekuwa nikimwambia tufanye anakataa anasema yaye hapendi kufanya mapenzi muda huu, sababu nyingi nyingi haziishi mara asema anahamu lakini anajizuia
Amekuwa na tabia ya kutoniamiani mara aniambie ninawasichana wengine tofauti na yeye,

Imekuwa tabu kila nikimwambia kuhusu sex anaruka mita 100 na kama unataka achukie mwambie kuhusu sex ,amekuwa akitumia vitu vyangu kama vile pesa nk lakini yeye nikimwabia hata siku moja anitunuku nipunguze ganzi ananikatlia na kuniambia eti nijizuie.

Na ni binti niliye kuwa namwamini sana nikijua kama tukiendelea hivi tutafika hadi kuoana maana ni binti ambae anaonekana mpole lakini nimemsoma ni mtu ambae anaficha hisia zake za matendo .

Juzi tarehe 23.03.2020 alinitumia ujumbe kupitia mtu fulani kuwa amenimisi sana maana nisiku kama 3 nyuma tulikuwa hatujaonana basi kesho yake tukaonana lakini baada ya kuonana hakuonesha uchangamfu kabisa ndo kumuuliza kulikoni anasema siku hizi hunijali,ndo kumuliza kivipi sikujali hakuwa na majibu ya kueleweka akawa amesepa hata hatujaongea vizuri dah nikabaki nimejiinamia nabofya simu tu .

Nikajisemea moyoni huyu tunapo elekea sijui tu basi nikawa nimesepa home.

Leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana nimekutana nae nikamuita akanilia buyu nikasema poa isiwe noma nikaamua kumfata nikamsimamisha maeneo tukabonga lakini alionekana hana mood yoyote nikamuuliza kulikoni mbona hivi, akanijibu wewe siku hizi hunijali ,kuna vitu akawa haviongei.

Nikamwambia mbona mahusiano yetu siyaelewi yanaelekea wapi, naona kama hueeweki nikaamua kumwambia we niambie tu ukweli kama hunipendi nijue kabisa nawala usinifiche.

Akafununguka akaniambia tuachane kila mtu ajue lake, mi nikamwambia poa wewe usiwaze kuwa na amani moyoni, mimi sitaki tena kumubembeleza maana inavoonekana nahisi atakuwa na jamaa huko ambalo linampa kiburi,

Nimeapa sitotoa msamaha wowote juu yake labda ikitokea anakuja kujitetea maana naona ni kama dharau ambayo ananifanyia na mwisho wa siku ntaonekana lofa.

Nishatoa maamuzi ya kiume na uzuri nilikuwa nampenda lakini nikaweka balance ya upendo nilijua hata tutapo kuja achana nisiumie.

Kuanzia jioni ya leo ameanza kunichunia.

Mpaka hapa sijajua nikipi kilicho mfanya achukue maamuzi ya haraka kama hayo ambayo sikuyategemea.

Sijui alinishauri nani...

Bin Shaib Classic 2020
Sikushauri umuache kama hujamkula...

Mimi nilikoswakoswa sana na tukio kama hilo I'm so glad nilimkula na ndie mwanamke pekee mpaka Leo namuamini kutokana na msimamo wake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa mabinti wa sasaivi unatakiwa uende nao kijanja sana na kwa timing ya hali ya juu.

Unapoanzana na demu, hasa kama demu mwenyewe ni kisu, lets say umechukua namba yake mkaanza kuwasiliana na kuchati chati mpaka kutoana out, tambua kwamba una kipindi kifupi sana cha kumla huyo demu kabla hajashtuka na akili kumkaa sawa, au kabla baharia mwingine kati ya wale 37 hajakuovateki!

Mfano mimi muda niliojiwekea maximum ni wiki 2. Nikianzana na demu leo, ndani ya wiki mbili za kwanza kama sijala mzigo naachana nae. Maana kadri siku zinavyoenda ndio inavyozidi kuwa vigumu kumla na hapo ataanza kukutia gharama zisizo na kichwa wala miguu. Pia ataanza kukuzoea na kukuona kama rafiki ake wakati we ni lifisi lenye uchu. Hapo ataanza kukueleza matatizo yake na utajikuta unaanza kumsikiliza na kumsaidia. Wakati huo yeye anaanza kukuona lofa na anaegemea kwa jamaa wengine unaanza kushangaa simu zako hazipokelewi meseji hazijibiwi mpaka akiwa na shida.
Kumbe?!! Umesomeka mkuu ndo maana jf naipenda kunawatu wakishauri hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo unakwisha, shukurani wana jf wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom