TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,977
- 15,319
Mkuu usiwe mkali sana kwa huyu dogo, ni kwamba tu kuna vitu vichache hajavielewa kwenye hii game ila yuko kwenye laiti tlaki. Kuna malofa hata kuwa tu na demu wa uongo na kweli wameshindwa sembuse huyu?