Mpenzi wangu kanikataa live leo

1. Huyo hakuwa mpenzi wako bali ni rafiki tu. Mpenzi maana yake mnafanya mapenzi

2. Siku zote unapokua na mwanamke, hakikisha kila unapokutana nae uhusiano wenu unapiga hatua kutoka point moja hadi nyingine! Mfano kama leo mmetoka out, next time mkitoka tena hakikisha unakula mate, next time unakula mate na kumchezea nyonyo na papuchi if possible, next unakula mzigo! Mwanamke akishaona hakuna progress anaboeka na mwisho anakupiga chini maana anaona hujielewi unampotezea muda tuu kila akija hamna kinachoendelea na wakati huo kuna wenzio 37 wanamsarandia na wanafanya kweli.
3. Sijui turudie kusema mara ngapi, MWANAMKE HAOMBWI KU SEX!! Ukikaa unamuomba mwanamke ku sex nae hutakaa ule papuchi wewe utakua unaachwa kila siku. Jifunze kutengeneza mazingira ya kula mzigo bila kuomba omba.
4. Jenga utamaduni wa kuwa na marafiki wengi wa kike kila wakati. Ukiwa na kamwanamke kamoja tu kila siku unakafuata fuata hako hako hua unaanza kuonekana poyoyo tuu na unapoteza mvuto kwake. Huo mda wote unaopoteza kumfuatilia mwanamke mmoja ungeshakula wengine kama 8 watam kuliko huyo.

Mkuu asante sana kwa kunitoa giza kidogo.

Huyu demu nilikuwa nikitaka hata kumshika kiuno anadai yeye hapendi kushikwa tukiwa hadharani wakati huo tupo wawili ndo nilikuwa njiuliza kulikoni.
Mkuu nimeupata ushauri wako ntaufanyia kazi

Hasa hapa pa kuwa na marafiki wengi wa kike naona nipamhimu.
 
Daaaah umefeli sana mkuu..ukikuwa mzitoo mkuuu... unawezaje kukaa kwenye mahusiano na demu kipindi chote hicho bila kumgegeda aisee.. Ilibidi umgegede hataka sana huyo demu... Faah ulifeli sana . Jitahidi umrudishe kwa namna yoyoye na umgegede haraka sana .

Mkuu jifunze kuelewa lugha za wanawake akikuambia sitaki/subiri/vumilia jiongeze hapo tengeneza mazingira ya kumla kimasihara tuuu.

Mkuu kuomba mgegedo hatuanzi kutongoza tena upyaaa ulifeli sana mkuu... Huyo manzi ilibidi umlie taimingi tuuu unambananisha kwenye 18 lazima ungekula tena si ajabu hayo yote yasingetokea.

Ila pole sana mkuuu, umetufedhehesha sana sisi mabaharia. Hebu nenda kasome ule uzi pendwa Jf Wa KULA TUNDA KIMASIKHARA UTAONDOKA NA KITU FULANI KITAKUSAIDIA Sana kupunguza uzito katika suala la kugegeda mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu nimekupata baharia mwenzetu japo nimefeli.
 
Mkuu asante sana kwa kunitoa giza kidogo.

Huyu demu nilikuwa nikitaka hata kumshika kiuno anadai yeye hapendi kushikwa tukiwa hadharani wakati huo tupo wawili ndo nilikuwa njiuliza kulikoni.
Mkuu nimeupata ushauri wako ntaufanyia kazi

Hasa hapa pa kuwa na marafiki wengi wa kike naona nipamhimu.

Kitendo cha mwanamke kukubali kuja sehemu ulipo, na kukaa na wewe mkiwa mpo nyie wawili tu, hiyo ni dalili kubwa sana kwamba huyo mwanamke anavutiwa na wewe na ukienda nae vizuri unamla kiulaini kabisa. Kumbuka, ana wanaume wengine 37 wanaomsumbua kila saa ila kawaacha kaja kwako. We usimsikilize anachosema, maana wanawake hata wao huwa hawaelewi wanachotaka! Unachofeli wewe ni jinsi ya ku transition kutoka kwenye kukaa tu mkipiga stori hadi kujikuta uchi kitandani. Hapo ndio unatakiwa kupafanyia kazi.
 
Kitendo cha mwanamke kukubali kuja sehemu ulipo, na kukaa na wewe mkiwa mpo nyie wawili tu, hiyo ni dalili kubwa sana kwamba huyo mwanamke anavutiwa na wewe na ukienda nae vizuri unamla kiulaini kabisa. Kumbuka, ana wanaume wengine 37 wanaomsumbua kila saa ila kawaacha kaja kwako. We usimsikilize anachosema, maana wanawake hata wao huwa hawaelewi wanachotaka! Unachofeli wewe ni jinsi ya ku transition kutoka kwenye kukaa tu mkipiga stori hadi kujikuta uchi kitandani. Hapo ndio unatakiwa kupafanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za humu ,nimekuwa na mfululizo wa thread lakini na wewe utajifunza kupitia hiki kisa kilicho nitokea leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana.

Nisipoteze muda twende kisa chenyewe kama kawaida.

Nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa Anna tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana cha kushangaza hatujawahi kufanya mapenzi toka tuwe kwenye mahusiano yetu.

Nimekuwa nikimwambia tufanye anakataa anasema yaye hapendi kufanya mapenzi muda huu, sababu nyingi nyingi haziishi mara asema anahamu lakini anajizuia
Amekuwa na tabia ya kutoniamiani mara aniambie ninawasichana wengine tofauti na yeye,

Imekuwa tabu kila nikimwambia kuhusu sex anaruka mita 100 na kama unataka achukie mwambie kuhusu sex ,amekuwa akitumia vitu vyangu kama vile pesa nk lakini yeye nikimwabia hata siku moja anitunuku nipunguze ganzi ananikatlia na kuniambia eti nijizuie.

Na ni binti niliye kuwa namwamini sana nikijua kama tukiendelea hivi tutafika hadi kuoana maana ni binti ambae anaonekana mpole lakini nimemsoma ni mtu ambae anaficha hisia zake za matendo .

Juzi tarehe 23.03.2020 alinitumia ujumbe kupitia mtu fulani kuwa amenimisi sana maana nisiku kama 3 nyuma tulikuwa hatujaonana basi kesho yake tukaonana lakini baada ya kuonana hakuonesha uchangamfu kabisa ndo kumuuliza kulikoni anasema siku hizi hunijali,ndo kumuliza kivipi sikujali hakuwa na majibu ya kueleweka akawa amesepa hata hatujaongea vizuri dah nikabaki nimejiinamia nabofya simu tu .

Nikajisemea moyoni huyu tunapo elekea sijui tu basi nikawa nimesepa home.

Leo tarehe 25.03.2020 mida ya mchana nimekutana nae nikamuita akanilia buyu nikasema poa isiwe noma nikaamua kumfata nikamsimamisha maeneo tukabonga lakini alionekana hana mood yoyote nikamuuliza kulikoni mbona hivi, akanijibu wewe siku hizi hunijali ,kuna vitu akawa haviongei.

Nikamwambia mbona mahusiano yetu siyaelewi yanaelekea wapi, naona kama hueeweki nikaamua kumwambia we niambie tu ukweli kama hunipendi nijue kabisa nawala usinifiche.

Akafununguka akaniambia tuachane kila mtu ajue lake, mi nikamwambia poa wewe usiwaze kuwa na amani moyoni, mimi sitaki tena kumubembeleza maana inavoonekana nahisi atakuwa na jamaa huko ambalo linampa kiburi,

Nimeapa sitotoa msamaha wowote juu yake labda ikitokea anakuja kujitetea maana naona ni kama dharau ambayo ananifanyia na mwisho wa siku ntaonekana lofa.

Nishatoa maamuzi ya kiume na uzuri nilikuwa nampenda lakini nikaweka balance ya upendo nilijua hata tutapo kuja achana nisiumie.

Kuanzia jioni ya leo ameanza kunichunia.

Mpaka hapa sijajua nikipi kilicho mfanya achukue maamuzi ya haraka kama hayo ambayo sikuyategemea.

Sijui alinishauri nani...

Bin Shaib Classic 2020
Pole kwanza kwa yalio kukuta ila wewe ni mpuuzi kwan wasichana wa Siku hiz wanatufanya boyz kama bank au supermarket kwahy na wew ukataka kumla mzigo ila yey nadhan alikuwa Tatar na mtu mwingine alivyoona kuwa amekula vingi toka kwako alafu sehemu nyingine ipo kaamua akumwage bwege kama wew maana kitu kama hiki ndy kiwe fundisho kwako na kwa wengine msio jua tabia za girlz wa sasa

Asante

Think before u do.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom