stwita
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,340
- 758
Mtumie ujumbe kuwa unamkatia RB na kutoa tangazo (pamoja na picha zake) kwenye magazeti na mitandao ya jamii kuwa anatafutwa kwa wizi, atarudi mwenyewe tena kimya kimya kama alivyoondoka.
Kuna ndugu yangu alikuwa anamdai mtu pesa zake akatumia hii mbinu, karudishiwa pesa zake zote ndani ya siku mbili tu.
Kuna ndugu yangu alikuwa anamdai mtu pesa zake akatumia hii mbinu, karudishiwa pesa zake zote ndani ya siku mbili tu.