Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Juzi nilikutana na mpenzi wangu, macho yalikuwa yamemvimba sana na hakuwa katika
hali yake ya kawaida…. Nikamuuliza kulikoni na macho mbona yako hivyo? Akanijibu kuwa kifo cha Kanumba kimemsikitisha sana na alikuwa akilia kwa siku nzima….. Nilishtushwa sana na haya majibu…..Hivi huyu kweli atakuwa ananipenda mimi kweli? Iweje amlilie Kanumba wakati sisi ndio tuko nao pamoja kwa shida na raha….
Hivi hawa viumbe mimi nadhani, sisi waume zao wanatuombea sana tufe na siku tukifa watakuwa na furaha sana ya kurithi mali na kulia kinafiki kwetu sisi, Na wasio wahusu wanawalilia kiukweli na wanawapenda kiukwel!!
Viumbe vya ajabu sana………
hali yake ya kawaida…. Nikamuuliza kulikoni na macho mbona yako hivyo? Akanijibu kuwa kifo cha Kanumba kimemsikitisha sana na alikuwa akilia kwa siku nzima….. Nilishtushwa sana na haya majibu…..Hivi huyu kweli atakuwa ananipenda mimi kweli? Iweje amlilie Kanumba wakati sisi ndio tuko nao pamoja kwa shida na raha….
Hivi hawa viumbe mimi nadhani, sisi waume zao wanatuombea sana tufe na siku tukifa watakuwa na furaha sana ya kurithi mali na kulia kinafiki kwetu sisi, Na wasio wahusu wanawalilia kiukweli na wanawapenda kiukwel!!
Viumbe vya ajabu sana………