Mpenzi wangu anavuta bangi


pombe zako na bangi za huyo mkeo zinaweza athiri intelligence ya watoto wenu unless huna malengo wa kumuoa!!!!
 

Nao vipi wana smoke??????
 
One of the trainer used to say.......choose one avenue to sopil it "body" .......by the way no one will check on your organs after death.......anamalizia hata Mungu atakushangaa ukienda na kila kitu bado kipya!!!!!!
Mjamaa atakuwa alikuwa anatumia Bangi mbichi huyo.
Btw Hapo kwenye mkazo ni error ama umemaanisha nini??
 
Unauliza nini, kama unaichukia sana.bangi mwache. Mie mwenyewe mwanamme anayevuta sigara/ bangi, neh.

Hata wa kuanzia bar neh.
 
Unauliza nini, kama unaichukia sana.bangi mwache. Mie mwenyewe mwanamme anayevuta sigara/ bangi, neh.

Hata wa kuanzia bar neh.

Duh...sasa utaishi na nani?maana kwa takwimu tu karibu 98% ya wanaume either tunapuliza,tunagigida au tunasaga......(angalizo...namaanisha "GOMBA"!).....achana na wale sijui wa ugoro,ngada......hio 2% iliyobaki ni watoto.....nakutangulizia pole zangu!
 
Marital status: "married but available" :sly::sly:πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Coming your way...

nin nini nawe? mentali mie nshatoka huko, we bado unapuliza? siku hizi mie ni mchungaji ninalisha kondoo kwenye kanisa langu ndomana hunioni sana huku, karibu kanisani kwangu

Location plizzz...!!!
 
Mjamaa atakuwa alikuwa anatumia Bangi mbichi huyo.
Btw Hapo kwenye mkazo ni error ama umemaanisha nini??

H aha haaaaaa labda ndio ganja effect hiyo...............Spoil was the word; to make sense...............
 
Unauliza nini, kama unaichukia sana.bangi mwache. Mie mwenyewe mwanamme anayevuta sigara/ bangi, neh. Hata wa kuanzia bar neh.
Bonadamu yeyote ana kilevi chake
mm mwenyewe bila Konyagi mwanamke simfikishi

wengine wetu humu bila tiGo (Kuparamiawenzao / kuparamiwa) hawafiki, naona bora ya bhange au pombe


Du samahani Mwezi umeandama jioni hii sorry kuwakwaza
 
Bangi, Ndumu, Ganja, Kijiti, kaya, Weed nk. Hii kitu haina shida kwa mtu ambae haimletei matatizo ujue kuna watu washafyatuka wenyewe wakivuta na Bangi ndio uchizi unazidi ili kuweka heshima mwambie avutie nyumbani asijichoreshe kitaani.
 
mkuu huyo demu wako atanifaa sana maana mi nalipuliza kweliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…