Huyo Dada yuko sahihi kabisa mfanye sherehe kabisa tendo hilo hutokeaa mara moja maishani. Sasa kwanini muishi bila kuhalalisha ndoa
Nimeelewa sana topic jamaa anataka kuingiza ndani kimya bila hata kanisani kukwepa gharama basi. Haja ya party muhimu tu sherehe kubwa nyingine huwa kwenye musiba sasa kina ugumu ganiHujaelewa topic sweetheart. Kuhalalisha hata kanisani au msikitini inatosha. Tatizo ni baada ya hapo kuna haja ya kufanya sherehe kubwa watu wakala na kunywa kwa gharama kubwa tu??
Harusi sio lazima muhimu zaidi ni ndoa ni wqngapi wanafunga harusi za bei gali baada ya honeymoon wanaachana?
Kama hujajipanga usifanye hivo.
Muhimu ni ndoa sio harusi
Hajui ndoa ni nini huyo hafai anataka kujionesha kwa wenzie atajuta baada ya muda kuwa umeenda hali jojoNdugu zangu wanajamiiF,
Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa, lakini cha kushangaza anasema hawezi kuolewa bila harusi na mimi sipo tayari kufunga harusi, na anasema anaomba Mungu apate bwana atakaye muoa kwa harusi.
Naombeni ushauri wenu
Sasa wewe kama unampenda na uko tayari kumuoa hutaki kufunda ndoa ili iweje sasa? huna uwezo au hutaki tuu? just expln
Tatizo uwezo wa kifedha au dhamira?mleta mada naomba jibu ili nijue jins ya kuchangia mada hii
Ngastuka machale kundesa
Mkuu....kwa jinsi nilivyoelewa mimi, huyo mwenzi wako anataka umuoe kwa ndoa yenye sherehe na si HARUSI.
HARUSI = BIKIRA
SHELA JEUPE = Ishara ya USAFI/UBIKIRA
jamaa hataki harusi sio ndoa,.lowasa ingia madarakani kile kipaumbele chako cha elimu elimu elimu kitawasaidia sana watu
Nimeelewa sana topic jamaa anataka kuingiza ndani kimya bila hata kanisani kukwepa gharama basi. Haja ya party muhimu tu sherehe kubwa nyingine huwa kwenye musiba sasa kina ugumu gani
Huyo Dada Amekuzid Akili, Na Kama Hutaki Kufuata Mawazo Yake, Ni Vema Uachane Maana Utamwaribia Future. Ww Unataka Ndoa Ya Kutungua!! Kama Mchungaj Nasema Achana Na Huyo Dada, Mtu Ambaye Hapendi Mungu Ni Wa Ibilisi