Mpenzi wangu anapiga punyeto

Mpenzi wangu anapiga punyeto

Aisee kweli ni tatizo swahiba. Ila huyo mdada anahitajika kumsaidia huyo mpenzi wake ili apate kuacha.
Dawa ni aache kabisa kupiga punyeto ajikite kufanya mazoezi kama jogging,push ups kiruka kamba na kula vizuri alafu awe anapiga papuchi kila baada ya siku tatu atazoea
 
Kama nimekuelewa vizuri hivyo wale wa punyeto haiwezekani kutokuwa na hisia hata kidogo kwa mwanamke au zinapotea zote?
Inategemea umefikia level gani, kwa wale beginners wanaweza kua na hisia na wanawake kadiri anavyoendelea mbele mpaka kufikia level ya ugwiji hisia kwa wanawake zinapotea kabisa na haoni kabisa umuhimu wa kipochi manyoya. Akiendelea zaidi misuli ya bakora inalegea na kushindwa kusimamisha kabisa.
 
Tatizo ni wewe usiye na mvuto kwake.
Yaani aliona bora bao la mkono kuliko kuingiza kwenye shimo lako.Labda ulikuwa unanuka au sijui nini jitathmini upya.
 
Kama inavyosomeka hapo juu
Nimekuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa miezi mitatu,lakini cha kushangaza alikuwa haniombi mchezo,nikawa najiuliza huyu kaka miezi mitatu sijawahi kusikia hata akiniomba mchezo kama walivyo wanaume wengine ambao wiki moja tu ameishaomba mchezo.

Basi juzi nilimuomba makusudi nikamsalimie kwake,akakubali,nilipofika kwake na kwa vile nampenda niliamua nimchezee ili ajue kuwa nataka mchezo
Nikawa nimekaa naye kwenye kochi namtomasa tomasa,nikaona kama anataka,nikanyenyuka nikavua nguo nikaoge kwanza,nilipo maliza nilimshika mkono tukaingia chumbani,basi tukaanza kuchezeana lakini dudu yake haikusimama,nikabembeleza hakuna kitu,basi nikamuuliza una matatizo gani?akanijibu labda ana stress,mawazo,labda siku nyingine itasimama,basi nikamuaga akaniitia tax nikaondoka,ila wakati tunaondoka kama mita 200 nikamwambia driver nimesahau hereni zangu nirudishe nikachukue,dreva akanirudisha,nikashuka na kuingia ndani bila hodi,chumba chake kina bafu humo humo,nilipoingia hapo chumbani nikasikia sauti kama yupo mchezoni,nikajiuliza huyu mwanaume ana nani bafuni ambaye wanafanya naye mambo,kwa kweli sikuvumilia nikafungua mlango,paap namkuta mwanaume anachua uume wake mpaka anakojoa shahawa,nikasikitika sana,nikamuuliza kulikoni mbona hivo, akakasirika na kuniambia niondoke,basi nikaondoka,hata sikuchukua hizo heleni, nikachoka mwili mzima,na kutikisa tu kichwa.
Najiuliza nimsaidiaje huyu mwanaume,? Ushauri wenu tafadhali
Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri
Huyu ndio mpiga nyeto...!??
Ama yule mpiga nyeto ndio hawezi unganisha goli mbili kama yule alie fungwa jela...
Je yule uliempata miezi mitatu iliopita na akakupangishia geto, naye ni mwingine...!!?
 
Anaweza akawa bwabwa..chunguza vzuri..adi aliwe ndio aweze kula..tofauti na hapo sijui..maana nyeto ikikuathiri sana cdhani kama hautokua na uwezo wa kucmamisha ata mkichezeana..
 
Inategemea umefikia level gani, kwa wale beginners wanaweza kua na hisia na wanawake kadiri anavyoendelea mbele mpaka kufikia level ya ugwiji hisia kwa wanawake zinapotea kabisa na haoni kabisa umuhimu wa kipochi manyoya. Akiendelea zaidi misuli ya bakora inalegea na kushindwa kusimamisha kabisa.
Duuh! Hivyo inaelekea huyu wa mleta uzi atakuwa hiyo level ya mwisho. Sa sijui kama anaweza badilika.

Ila twende mbele na nyuma swahiba mpaka hapa najionea Punyeto sio kama athari zake ni hizo aisee.
 
Kama inavyosomeka hapo juu
Nimekuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa miezi mitatu,lakini cha kushangaza alikuwa haniombi mchezo,nikawa najiuliza huyu kaka miezi mitatu sijawahi kusikia hata akiniomba mchezo kama walivyo wanaume wengine ambao wiki moja tu ameishaomba mchezo.

Basi juzi nilimuomba makusudi nikamsalimie kwake,akakubali,nilipofika kwake na kwa vile nampenda niliamua nimchezee ili ajue kuwa nataka mchezo
Nikawa nimekaa naye kwenye kochi namtomasa tomasa,nikaona kama anataka,nikanyenyuka nikavua nguo nikaoge kwanza,nilipo maliza nilimshika mkono tukaingia chumbani,basi tukaanza kuchezeana lakini dudu yake haikusimama,nikabembeleza hakuna kitu,basi nikamuuliza una matatizo gani?akanijibu labda ana stress,mawazo,labda siku nyingine itasimama,basi nikamuaga akaniitia tax nikaondoka,ila wakati tunaondoka kama mita 200 nikamwambia driver nimesahau hereni zangu nirudishe nikachukue,dreva akanirudisha,nikashuka na kuingia ndani bila hodi,chumba chake kina bafu humo humo,nilipoingia hapo chumbani nikasikia sauti kama yupo mchezoni,nikajiuliza huyu mwanaume ana nani bafuni ambaye wanafanya naye mambo,kwa kweli sikuvumilia nikafungua mlango,paap namkuta mwanaume anachua uume wake mpaka anakojoa shahawa,nikasikitika sana,nikamuuliza kulikoni mbona hivo, akakasirika na kuniambia niondoke,basi nikaondoka,hata sikuchukua hizo heleni, nikachoka mwili mzima,na kutikisa tu kichwa.
Najiuliza nimsaidiaje huyu mwanaume,? Ushauri wenu tafadhali
Kwanza njoo kwangu nikufanyie mambo kwanza then ndo uende kwake umpe mzizi flan hivi nitakaokupa uende kumtegeneza.
 
Tatizo ni wewe usiye na mvuto kwake.
Yaani aliona bora bao la mkono kuliko kuingiza kwenye shimo lako.Labda ulikuwa unanuka au sijui nini jitathmini upya.
Ndo akapige punyeto,khaaaaa!!!!
 
Hii nzuri aisee. Ila nadhani mleta uzi atauchukua huu ushauri na kuufanyia kazi.
Yaa mleta mada ajiandae tu awe anamtengea papuchi kila baada ya muda mfupi kama anampango wa kufika naye mbali
 
Hi thread imevamiwa na watu wajinga wajinga baada ya kumshauri mnaanza utani utani wa kishoga
 
Mmh. Kwani wanaopiga hayo mapunyeto huwa hawana hisia na wanawake au ni kwa sababu hawana wanawake ndio sababu wanaona hiyo punyeto ndio suluhu?

Nauliza tu sababu naona kama kuna ukakasi hapa.
labda huyo jamaa wake ajawa na mwanamke mda mrefu itachukua muda labda wazoeane kwanza ndo ataweza simamisha vijana waache huu mchezo sio mzuri dawa yake ni kuangalia madhara zaidi sio utamu
 
Back
Top Bottom