nimemuuliza akasema alimfuata mara tatu so ikabid ampe ili amjibu so hayo ndo maneno ya baby ...ila yeye akawa msumbufu unajua tatizo sio kumtongoza ila kunitishia mim aiseee ..
we tutauwana mie hawez kuniuwa ...walishidwa sumbawanga mwalim mmoja hiv ila wengine aliwaweza wakafel na kuumwa .. so hana nguvu kwangu ila ntamuonyesha
ndio najua ila kunitishiaaaa ....uwa sipend so atalamba tuuuu i hate hata kama unamtaka ila sio ifikie unitishie mim imempendaa kisa anapendeza kwa ajili angu ... unajua ni nin sio watu wote ni wabaya ila wabaya ndo wanafanya wema wawe wabaya ...dunian