Mpenzi wangu ananipa dozz ndogo

Kituku
Member

Join Date
Thu Nov 2010
Posts
41
Thanks
10
Thanked 3 Times in 3 PostsRep Power
0

Mtu ameondoa 'h' tu ili asituhumiwe kwa id theft! Majina yameisha au ni nini?

Mimi sikujoin JF kuja kuchunguza majina nani anaitwa nani ndugu, hapa ni eneo la mijadala, kama nimeandika adm ikaniambia jina halipo nifanyeje? after all hii ni call sign to, it is not a big deal, kama imekuuma sana change la kwako sasa....
 
kamoja kenye quality kuwafikisha wote wewe na yeye ni bora kuliko mbili au tatu za kusuguana ovyo au za yeye tu kuja. Ridhika binti ndo majaliwa yako hayo
 
roselyne1;1316920]mie naona hio dozi ni sawa,
mwanaume akipiga goli moja ni sawa ametembea miles na miles...
kama mnafanya mara tatu kwa week aisee aakuwa ametembea miles nyingi sana:cool::cool:
kama unataka zaidi ya hapo ni kumuonea..hahhahah

lakini siriazz haya ya wenzio kuenda round mbili tatu umeyasikia wapi?
watu kumbe mnaaambianaga mambo kama haya?


Hahahahaha, kuna siri ndugu yangu siku hizi? hata humu kwenye JF huwa tunayasoma ndo hviyo tunapata matamanio
Usiwe unaamini sana maneno ya kijiweni na hata humu jf inabidi uchuje mambo si kila neno uambialo ni lakweli,jipime mwenyewe ndo uchukue maamuzi,kisa cha kweli mi nimeoa nina mke na mtoto tangu nimeoana na mke wangu hatasiku moja hakubali kurudia round ya 2,yuko radhi kwenda kila siku ila moja tu,nilivumilia na leo naona sawa tu,so kila kitu ni kuridhika na utafurahi kuliko hayo ma 3 unayo hitaji,
 
Usiwe unaamini sana maneno ya kijiweni na hata humu jf inabidi uchuje mambo si kila neno uambialo ni lakweli,jipime mwenyewe ndo uchukue maamuzi,kisa cha kweli mi nimeoa nina mke na mtoto tangu nimeoana na mke wangu hatasiku moja hakubali kurudia round ya 2,yuko radhi kwenda kila siku ila moja tu,nilivumilia na leo naona sawa tu,so kila kitu ni kuridhika na utafurahi kuliko hayo ma 3 unayo hitaji,
Imebidi nicheke tu hapa.............. ila kabla hamjaona round hata tatu zilikuwa zinapigwa hahhaha.......... nasikia wakiingia ndani basi tena
.......... mie ndio maana nimeamua kuwa tu hivi............LOL
 
hahahaha hizo salooni zenu izo....haya bana mwambie jamaa aache uvivu uwafurahishe mashosti zako...

ndo maana mi nimenunua drier na steamer na naongeza na makolokocho mengine na nimtafute fundi mmoja tu awe anakuja kumtengenezea hapahapa home!we unafikishwa(labda ungekuwa hufikishwi)ila unataka zaidi (hata kama ushashiba)ili tu na wewe upate cha kuchangia kwenye vijiwe vyenu!?ndoa unaitupa hiyo mdogo wangu!!
 
Hapo unahaki ya kulalamika kumbe bado mtoto kabisa huyo kwanini anakuwa mzembe hivyo wanatoa 1 na kulala ni kama hawa wa kwetu sie 48 huko sasa 32 mmmhhh kuna shida hapo aisee kama si ana mwingine basi anafanyakazi sana na kuchoka. Cha msingi hebu kaa nae mzungumze sio mpaka wamarekani waambie mzungumze. Hii ifanye iwe kwa hisani yako

Oooh! tafadhari sana yaani sisi wenye 48 ndo tunalala?

Na ukome!
 
kama unaishi naye nini unataka zaidi kila siku tuuuuu unajua kama hilo moja ni la ufundi linatosha sana tu kama ni la dk 5 jitahidi kumuhamsha hisia tatizo lenu mnakaaa kama magogo tu zidisha mautundu sana dada, ila mshindo wa tatu ni karaaa na wala usiupende ni kuchoshana sana tu ok
 
Dadangu, kwa experiens yangu huo si ugonjwa the way i see it mumeo huchoka sana nahvyo arudipo nyumbani huwa hana nguvu zakufanya hlo tendo twice,

hii hutokea kwa wanaume wengi sana, bt tatizo hli linarekebishika tena wewe ndio tiba tosha sana,

nitafute private then ntakwambia wat to do, am sure u wil 4rget all that and ur man wil be as good as u never seen hm doin that.
 
Swali la nyongeza waheshimiwa wanajamii,
Kama goli la kwanza linatoka within 5minutes..unafanyaje hapo kuongeza walau huo muda?
 
Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)

Inatosha sana hiyo sio panadol kwamba lazima kutwa iwe x3 my dear
 
Swali la nyongeza waheshimiwa wanajamii,
Kama goli la kwanza linatoka within 5minutes..unafanyaje hapo kuongeza walau huo muda?


Mkuu hii yako nadhani ni mada ingine inahitaji thread mpya hii!:A S-coffee:
 
Sijui labda nina matatizo,bao moja tu linanichukua 30-45min,nyie mnaotaka bao 3,ni karibu masaa 3,eeeeeeeeeeeeeeeeee!!! Mtaniua
 
CBZ dakika Tano kamoja ka kwanza si rahis ni ndani ya Sekunde tu..
Mi namshauri kuwa anahitaj kuongea nae ilikujua Tatizo ninini..
Halaf ujue kwamba sasahivi kuna tatizo kubwa sana kwa Wanaume wengi sana hapa Tanzania wamepungukiwa na Nguvu za Kiume,, inawezekana na yeye yupo kwenye mkumbo huo,,
 
pole siajabu unapigwa bao moja je wewe? wengine wanatoka ngoma droo yaani 0-0 fanya maandalizi( kama ya bata sio kama kuku) ukishindwa watafute yeroo nauza dawa
 
CBZ dakika Tano kamoja ka kwanza si rahis ni ndani ya Sekunde tu..
Mi namshauri kuwa anahitaj kuongea nae ilikujua Tatizo ninini..
Halaf ujue kwamba sasahivi kuna tatizo kubwa sana kwa Wanaume wengi sana hapa Tanzania wamepungukiwa na Nguvu za Kiume,, inawezekana na yeye yupo kwenye mkumbo huo,,

bao ndani ya sekunde hili nalo mh..................................!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom