Mpenzi wangu ananikera sana

Mambi ya nyakati🤣🤣
 
Mvumilie atakua tu na kubadilika, ila inapaswa akiuliza ulipo wewe potezea usimjibu hilo swali, na wakati mwingine acha kupokea simu, akituma SMS 20 usimjibu kitu, kwa kfupi anza kumsaidia kuzoea kuishi bila hizo kero zake.
 
Mvumilie atakua tu na kubadilika, ila inapaswa akiuliza ulipo wewe potezea usimjibu hilo swali, na wakati mwingine acha kupokea simu, akituma SMS 20 usimjibu kitu, kwa kfupi anza kumsaidia kuzoea kuishi bila hizo kero zake.
Asante mkuu
 
M.Melo imefika wakati ufungue jamiiforum totoplus ili watoto kama hawa wapate fursa ya kujadiliana mambo yao ya kitoto kitoto,sifa za kujiunga kitambulisho cha shule ama chuo..ukikua utaelewa
Hapa nakazia hasa.
 
Mwizi huyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tafuteni kazi. Ukiwa na kazi, yeye hawezi kukufuata kazini. Akiwa na kazi hawezi kukusumbua kwani majukumu yatambana!
 
Mvumilie atakua tu na kubadilika, ila inapaswa akiuliza ulipo wewe potezea usimjibu hilo swali, na wakati mwingine acha kupokea simu, akituma SMS 20 usimjibu kitu, kwa kfupi anza kumsaidia kuzoea kuishi bila hizo kero zake.
Oya nyangau 254 uzi wa kimasihara unautembeleaga?.
 

Piga mimba huyo atatulia
 
Tafuteni kazi. Ukiwa na kazi, yeye hawezi kukufuata kazini. Akiwa na kazi hawezi kukusumbua kwani majukumu yatambana!
Sio kweli..

Mimi kuna demu alikuwa anajua nipo busy tena sana na ninachokifanya kinahitaji umakini sana lakini kupigapiga simu hovyo alikuwa haachi.

Mtu umetoka kula saa 8 kasoro unampigia,ila ukiingia tu mzigoni kama dk 20 anakupigia tena..kmmmk..hata kama unampenda huyo mtu taratibu anaanza kukuboa na utaanza kumchukia.
 
Ndugu watanzania Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu nchemba kwa kushirikiana na January Makamba....
Wanasema wamependa huu mjadala wenu, Ikifika saa 4, ni mda wa kuilaumu serikali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpenzi wako anasumbuliwa na mambo mawili inferiority na loneliness, kukusumbua huko anajitahidi kukuambia kuwa anahitaji uwe naye karibu kwa namna itakayowezekana maana kiuhalisia anajihisi mpweke ila kwasababu kichwa chako kidogo kama nzi unakuja kulalamikia JF, Wewe bado ni mvulana hata kama una umri mkubwa.. kuwa kwanza ndio utawaelewa wanawake..
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…