Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

Mi naamini hapo huna chako mkuu kashapata wenginehuko alipo...
 
Acha ubishi kuna kesi ya walimu walipangiwa kwenda kufundisha mikoani, mkoa nimeusahau walikuwa wakiingiliwa kiuchawi, asubuhi wakiamka wanakuta wamegegedwa, waligoma kufundisha, ilikuwa ishu kubwa mpaka ilitangazwa maredioni, mikoani kuna mambo ya kipumbavu sana, mkuu mwambie huyo binti awe karibu na Mungu sana.
Hilo nalo neno,nafikiri hao walimu walikuwa hawapendi post waliopangiwa ndio wakazusha habari ya POPO BAWA au siyo?
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
unatangaza ushetan wako
 
Hayo si majini ni mambo ya kishirikina tu hayo, majini hayaachi alama hata kidogo.
 
kwa tatizo lako mtafute member huyu hapa jf shekh khassan makarama
 
Acha ubishi kuna kesi ya walimu walipangiwa kwenda kufundisha mikoani, mkoa nimeusahau walikuwa wakiingiliwa kiuchawi, asubuhi wakiamka wanakuta wamegegedwa, waligoma kufundisha, ilikuwa ishu kubwa mpaka ilitangazwa maredioni, mikoani kuna mambo ya kipumbavu sana, mkuu mwambie huyo binti awe karibu na Mungu sana.
Mkuu una maana ghani unavyosema Mkoani kuna mambo ya kipumbavu!!
 
Siyo jini linamla mkuu bali ni mtu anamla kimazingira,jini halina manii!
 
Mkuu una maana ghani unavyosema Mkoani kuna mambo ya kipumbavu!!
Baadhi ya mikoa wanahusudu sana mambo ya kishirikina mkuu, sasa mgeni ukiingia wanaanza kukuchezea, ndio maana ya mambo ya kipumbavu.
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
Tena asijaribu...Kuna jamaa alijaribu kufanys hivi ajaliwa yeye kiboga..
 
Angalia inawezekana jini linakuwinda kwa kumgonga dem wake, sepa mapema.
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
Akilala naye kitanda kimoja na jini akija akashindwa kujua nani ni nani je?
 
unatangaza ushetan wako
[emoji85] [emoji85]
Mkuu sio kweli unanionea
Hili ni kanisa la kiroho

ILLUMINATI CHURCH OF THE BAPHOMET.

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120]
Karibuni mpate huduma bora za kiroho.....
 
Anatengeneza mazingira ya kukuacha... subiri tu siku ya kuambiwa hisia zimehamia ndotoni wewe na yeye basi, anakuona kama kaka yake...
 
Back
Top Bottom