Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

Niliwahi kuota kuwa nafanya mapenzi na msichana tangu naanza form 1 mpaka nikamaliza tatizo hili liliendelea kwa mda mrefu. Nilipo jaribu kuomba ushauri matakitari waliniambia kuwa ni hatua ya makuzi kwa kijana marafiki wakaniambia kuwa huwa ni jini mahaba ambaye anamuingia mtu ambaye hasa hajawahi kufanya mapenzi na mtu yeyote. Ukweli katika maisha yangu sijawahi kufanya mapenzi na msichana yeyote. ILINIBIDI NIENDE KWENYE MAOMBI WAKANIOMBEA MPAKA SASA TATIZO HILO HALIPO TENA.
Nakushauri mwambie aende kwenye maombi ndoto hizo zitaisha na wala jini hato tumia mwili wake tena.
acha uongo wewe umebalee unasingizia maombi we muache ngoja apate mimba huyo demu wake sijui mtasema ni jini mahaba
 
Anakuzingua uyo ili siku akipata mimba aseme ya nini angalia mwanangu tapeli uyo
 
acha uongo wewe umebalee unasingizia maombi we muache ngoja apate mimba huyo demu wake sijui mtasema ni jini mahaba
mkuu nakuhakikishia huu niukweli ulionitoke mwenyewe si kwamba ni uongo
 
mkuu nakuhakikishia huu niukweli ulionitoke mwenyewe si kwamba ni uongo
mimi wakati nabalehe ilinisumbua sana ila siku nimeanza kuniaje mambo yakawa sawa baada ya kuzoea na kufanya kazi mara kwa mara. mimi kuna jamaa yangu ameokoka ila bado anaji piza kitandani na mke anae na hana jini wala nini na ni mtu wa maombi sana. nili mshauri tu we jipe punziko kwa week ule demu wako mpaka uchoke na mambo yakaenda sawa
 
jamani member mambo ya 2016 mnabishania leo
bint keshajifungua na mtoto anakimbia
bado mnamtafuta baba yake?
 
Pole sana kijana, tiba za kiroho ni muhimu ktk kudhibiti tatizo hilo.
 
Kumbe jini mwenyewe wa kike niunganishie nifiranenae usawa huu wa Jamaa Demu wa bureee
 
Back
Top Bottom