Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

Mpenzi wangu analiwa na jini, naomba msaada

habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae

Jibu ni Yesu tu! Akifanya maombi ya moto.. jini huyo hatamrudia!
 
habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae
Kwanza ondoa mawazo kuwa huyo ni jini, Huo ni ushirikina tu, ambao unakuwa kwenye maeneo hasa ya shule,

NINI cha kufanya
Sitaki kujua Imani yako ila usijaribu kwenda kwa waganga maana na wao watamtafuna tu huyo msichana,
Nenda kwenye makanisa ya kiroho mtafute mzee wa kanisa (mkiwa wote) au mchungaji/ kiongozi wa maombi kanisani mumuelezee vizuri mtaombewa, mKate Shauri muongozwe Sara ya toba, usisahau KUOMBA kabla ya kulala (wengi mnalala na Biblia hamuombi)

Soma Biblia uielewa achana na maneno ya mtaani kuhusu kuombewa na makanisa ya kiroho
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
Hapo kuna mambo nataka ufahamu, moja wewe kama utamuoa basi mshauri amuombe Yesu aje karibu yake ili mpaka unakuja kumuoa tayari mkono wa bwana utakuwa juu yenu,mbili kama huna mpango nae yaani bado ujaoa wewe unadhini nae adharani wakati Jini yeye anazini nae gizani mnapeana muda tu, Hakuna kinachoshindikana chini ya jua muache kuzini kwanza ili mnapomuomba Mungu aweze kuwasilikilza
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
[emoji4] [emoji4] [emoji4] mdanganye alale nae alafu jini liwachanganye wote[emoji13]
 
Ukiwa na Yesu vitu kama hivi utavisikia kwa jirani.....mlete nimfanyie maombi......
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] mdanganye alale nae alafu jini liwachanganye wote[emoji13]
[emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87]

Wachafuliwe wote...
Hahhaa mkuu..
Umenichekesha mno
 
habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae
anaweza kukudanganya hebu nenda kapruvu
 
habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae
Mkuu mulika mwizi apo unaibiwa kaka andaa ziara ya usiku mapema sana
 
mkuu mambo kama hayo yapo wewe mwambie aende kanisan na kumrudia mung wake ataacha kuona hiyo hali pole.wala ucwaze kumuacha mwenzio
 
Kaa nae karibu na ikiwezekana lala nae kitanda kimoja uone kama hii hali itamtokea au la....

Hayo ni mambo ya kiroho zaidi amuombee mola wake au aje kupata huduma bora ambayo itamuondolea hilo tatizo ( ILLUMINATI ) naamini tatizo lake litaisha.

Heri ya mwaka mpya 2017 nawatakia......
Alale nae kitanda kimoja ili jini likija likosee limbandue yeye
Ha ha ha ajiandae tu style za kufumania jini
 
Wewe unatombewa halafu unakuja humu kujiumbua au?,huyo anambwato na mwanachuo mwenzie,wewe umekazania jini sijui nini?,sasa wacha akuletee mtoto umlee na umpe jina IBILISI
Haaaaaaaaaaah eti mtoto ibilisi da u made my day
 
Haaaaaaaaaaah eti mtoto ibilisi da u made my day
Ndo hivyo mkuu,unajua vijana sisi ambao hatuna experience na kumai,huwa tunaamini chochote demu anachosema,eti demu wake anambwato na jini,hahaaaaaa,ok kama jini anamla ategemee katoto kanaitwa IBILISI.Hakuna cha jini wala nini au? huyo demu anapanuliwa na kukojozwa na lijamaa huko chuoni mpaka anamtukana boyfriend,aah aaaah oooh yeahh aah nipe yoote aaah shiiit aaaah my boyfriend khanithi,khaniiiithi aaaah ntombe aaah gonga ndani kabisaaaaaa aah boyfriend khanithi aaah tena hasimamishi sawasawa aaah huwa ananichafua tuuuu aaaah niumize na ukuni wakooo mtamuuuu aaah nakunya baby aaah najinyea baby aaaaaah nafwaaa.
 
habari wana jamii forum mimi ni kijana wa kiume nina mpenzi wangu anaesoma mbeya chuo fulani hivi tuna mahusiano ya muda wa miaka miwili hizi mimi nipo mkoani mtwara tatizo la mpenzi wangu huyu amenipigia simu na kuniambia kuwa huwa anakumbwa na tatizo la kufanya mapenzi na mtu asiye mjua wakati akiwa amelala anakuwa kama anaota anafanya mapenzi na akishuta anakuwa kama ametoka kweli kufanya mapenzi na mtu kwani anachoka sana miguu na kiuno kinamuuma na akijikagua sehemu za siri anakuta amemwagiwa manii kwenye sehemu zake za siri na tatizo limemwanza tangu alipojiunga na hicho chuo hilo tatizo limenichanganya sana ninaomba msaada sijui niachane nae tu kwani ninaweza kuletewa maradhi au akapata mimba anaomba msaada wenu kwani nimeshafikiria hadi kuachana nae

A born again Christian Pastor atakusaidia bila hata senti tano kama malipo! Hawa ni wachache sana kwani out of 100 Pastors ni 10 tu wanaweza kukusaidia kwani wengine ni fake,watakuambia panda mbegu which is a way ya utapeli wao kwani Yesu alitoa bure na wao ni lazima watoe bure. Tunasema ana spiritual husband. Kama una laptop angalia website hii hapa www.emmanuel.tv au nenda kwenye www.youtube.com/scoanvideos utapata solution. Kazi kwako, usizubae take action.
 
Back
Top Bottom