Philly97
Member
- May 22, 2020
- 10
- 9
Mchango wa mawazo jamani,
Kuna msichana nime-date naye toka niko Form IV lakini tukawa tunaishi mbalimbali, ikatokea siku nikaenda aliko yeye maana yeye yuko tu nyumbani na mimi niko Chuo sasa hivi na tukalala wote bila kufanya chochote ila sikujua kwanini ilikuwa vile.
Siku iliyofuata nikaondoka nikarudi ninakoishi ikapita wiki katika stori akanambia ana mimba nikamuulza imekuaje tena akanambia bahati mbaya tu ila nakupenda wewe. Nikamuulza ilkuwaje mpaka ukaamua kufanya hivyo jibu likabaki bahati mbaya tu.
Sasa mnanishauri vipi niachane naye au vipi lakini nampenda kweli.
Kuna msichana nime-date naye toka niko Form IV lakini tukawa tunaishi mbalimbali, ikatokea siku nikaenda aliko yeye maana yeye yuko tu nyumbani na mimi niko Chuo sasa hivi na tukalala wote bila kufanya chochote ila sikujua kwanini ilikuwa vile.
Siku iliyofuata nikaondoka nikarudi ninakoishi ikapita wiki katika stori akanambia ana mimba nikamuulza imekuaje tena akanambia bahati mbaya tu ila nakupenda wewe. Nikamuulza ilkuwaje mpaka ukaamua kufanya hivyo jibu likabaki bahati mbaya tu.
Sasa mnanishauri vipi niachane naye au vipi lakini nampenda kweli.