Binafsi sijawahi na Sitaki maana nayajua madhara nisije nikataka kujikumbushia Bure. [emoji23][emoji23][emoji23]We vipi umeshawah wasiliana na x wako hata mmoja na nn kilitokea? Mnaweza mkawa mnadaiana madeni labda...sio lzm kupigana mti. Labda km gemu ilikua ya kibabe[emoji38]
Binafsi sijawahi na Sitaki maana nayajua madhara nisije nikataka kujikumbushia Bure. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna cha madeni wala nini bora Ungesema wanalea watoto hivyo wanaulizana wanaendeleaje[emoji1][emoji1][emoji1]
Hivi mnanichukuliaje wakuu...Mimi nipo na yeye kwa muda wa wiki tatu tu..na Nina papuchi zilizo chini ya himaya yangu na Nina uwezo was kuzitafuna muda wowote nikitaka...kinachoniuma ni kuwa kwa mini sniache wakati sijqmtafuna...mchungaji hata akiwa na kondoo mia mmoja akipotea huwaacha wote na kumtafuta yule mmojaIvi miss chaga ulipokus mtoto ulivalishwa zile senti zazaman zenye kitobo katikat ???? Au ulichanjiwa majivu ya ile noti ya miambili ???? Au ulinyweshwa maji ya noti nasaraf zilizochemshwa ????? Au vyote kwa pamoja ??
Maana unajua Pesa mnoo
Ni ex wake au wewe ndiye ex sasa?Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Ha ha ha kuna kiingilioDuuuuhh basi bana sinmekutext kule A.M ,,nilichokikuta kweli we nimiss chaga .
Namm nmeshaacha nmemuachia muhusika.Ha ha ha kuna kiingilio
Kama vipi si umsaidie kuibeba tu...Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Usiwe mjinga kiasi hicho.muache huyo mwanamke usije lia machozi mbele ya safari.umeiazimisha akili yako nini ndugu?Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
QUIGLEY na eli79 wanakusalimia wote kwa mpigo![emoji30][emoji30][emoji30]Agiza pepsi hapo dailema nakuja sasa hivi kulipa
Nawamiss sana hawa vipenzi vyangu. Chemba nne za moyo wangu kila mmoja anamiliki mbili mbili.QUIGLEY na eli79 wanakusalimia wote kwa mpigo![emoji30][emoji30][emoji30]