Mpenzi wangu ana mimba ya ex wake

Mpenzi wangu ana mimba ya ex wake

Hauwezi kuisha sababu tabia ya kuwasiliana na maex bado ipo.
Maana mtu unapochat na ex wako mnachat kuhusu nini kama si kukumbushiana Habari za migegedo.

We vipi umeshawah wasiliana na x wako hata mmoja na nn kilitokea? Mnaweza mkawa mnadaiana madeni labda...sio lzm kupigana mti. Labda km gemu ilikua ya kibabe
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Pole sana,, ipo ivi , mwanamke wakati wa mahusiano huwa wanapenda sana sasa ikitokea umemuacha huwa anateseka sana kiakili kiasi kwamba wanajikuta wanatafuta au kufanya jambo lolote just to please their muscles,, nerves and brain ,,ktk huo muda nido wakati ambao Mwanamke huwa rahisi sana kumkubalia mwanamme yoyote wakwanza atakayemtongoza ,,,wanafanya hivi kwasababu mbili ,,, Moja kukuonyesha wewe uliyemuacha kua bado analipa (lkn hii huwa na furaha ya uson moyon anakuwaza ) lkn pili ,, kuridhisha mwili wake ns kurefresh mind ( ukweli nikwamba Sex inatoa mawazo na inamfanya MTU kua active ).

Narudi kwako ,,,,,Wewe kijana kwanza utambue huyo mwanamke hakua anakupenda wewe isipokua umempata kwasababu ya nyakati ngumu alokua nao kimausiano either aliachwa na mpenzi wake then we ndo ukaingia ( hakua najinsi zaidi ya kukubalia ) .

Sasa kajikuta ana mimba ya x wake ,, sio inshu sana kama anakupenda mngekaa mkaona namna ya kuishi mkiwa still ktk mahusiano ( mimba nijambo lakawaida ambalo halimwondolei MTU thaman).

Ila kwakua ameshamjulisha x wake kua anamimba na "Wenda " wamesameheana sasa wanataka kurudiana Walee mimba yao ,,ndo sasa Mdada anatafuta njia nyingine ya kukuacha wewe on the expense of herself !! ,,kwaiyo kwanza usupanick napia let her go,, sometimes we met a wrong people before the right one ,, that was just a crush ....

Mruhusu aende then fanya maisha yako ,, kinyume nahapo unamtafuta Mwalimu Scorpion !!.
 
"Mpenzi wangu ana mimba ya x wake"

Sasa huyo amekuwaje mpenzi wako??
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
na ukisema aitoe atakataa, anaogopa kuua kiumbe cha Mungu. hapo ndipo kwenye busara, amekuonyesha anaweza kuchepuka hata kabla hamjaingia kwenye ndoa. akiingia usijeshtuka. kaza moyo.
 
NDO MAANA CCM WANATUBURUZA HATA AKILI YA KUJIONGEZA HUNA YAANA INABIDI LIJE GARIKA WOTE TUONDOKE KIJE KIZAZI KINGINE
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Kweli wewe ni mende!Unaingia popote na kupang'anga'nia!
 
Ingekuwa ni AMRI YANGU ningehakikisha Malayoni na Nyangulo wote hawaanzishi mada hapa.

Blalful.
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...

Upo kama Bashite
 
Pambana na hali yako, solution mbona zipo nyingi

Binadamu hatujawahishindwa
 
tafuta pesa huwezi kuwa dailema kamwe .. ungekuwa nazo hata mimba ingekuwa yako .. pole
Ivi miss chaga ulipokus mtoto ulivalishwa zile senti zazaman zenye kitobo katikat ???? Au ulichanjiwa majivu ya ile noti ya miambili ???? Au ulinyweshwa maji ya noti nasaraf zilizochemshwa ????? Au vyote kwa pamoja ??

Maana unajua Pesa mnoo
 
Back
Top Bottom