Mpenzi wangu ana mimba ya ex wake

Mpenzi wangu ana mimba ya ex wake

Kuna kademu nilikuwa naka mind kitambo tu ...tukaja tukapoteana baadae tulipokutana akaniambia yu mjamzito NA aliyempa mimba alifarik dunia hivyo akaniomba tuwe wapenz .....baada ya hapo nahic aliniona kiumbe katili sana
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Ah.... Weweee jitoe ufaham mukuuu! Wenye vimimba uwa ni watamu so kam vp u jus jifanye hujali wala nn.... Endeleza kupiga mashine, ictoshe mmekutana majuz tu thus haitoathiri vyvyte...

Akikuuliza gharama za malez ya ujauzito.. we ni kidume... hop jibu utakua nalo!
 
Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Hizi ni akili za wavulana kabisa................🙁
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Huna akili
 
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Ukiona umependwa jua kuna fala kaachwa na ukiona umeachwa jua kuna mjanja kapendwa
Hapo kuna vitu vitatu
1. Mpenzi wako
2. Mimba
3. X wake
Ukivifanyia colabo utapata featuring moja matata sana😂
 
Back
Top Bottom