Ah.... Weweee jitoe ufaham mukuuu! Wenye vimimba uwa ni watamu so kam vp u jus jifanye hujali wala nn.... Endeleza kupiga mashine, ictoshe mmekutana majuz tu thus haitoathiri vyvyte...Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Uko sahihi kabisa.lkn dogo hakua amejiandaa kupoke majibu ndo mana kawa zero brain ghafla.Huyo hana mimba,karudiana na x wake wee kaamua akupige changa
Rafiki kwa hiyo una papuchi mbili kwa mpigo??Yap....ninaweza hilo, na kama kuna mwingine mlete



Kama ulishawahi kuskia....ndo mimiRafiki kwa hiyo una papuchi mbili kwa mpigo??![]()
Hizi ni akili za wavulana kabisa................🙁Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Huna akiliWakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Ukiona umependwa jua kuna fala kaachwa na ukiona umeachwa jua kuna mjanja kapendwaWakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...