sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Binafsi sijawahi na Sitaki maana nayajua madhara nisije nikataka kujikumbushia Bure.We vipi umeshawah wasiliana na x wako hata mmoja na nn kilitokea? Mnaweza mkawa mnadaiana madeni labda...sio lzm kupigana mti. Labda km gemu ilikua ya kibabe![]()



Hakuna cha madeni wala nini bora Ungesema wanalea watoto hivyo wanaulizana wanaendeleaje




