Kwa hiyo unawapenda wote wawili kwa mpigo??Nawamiss sana hawa vipenzi vyangu. Chemba nne za moyo wangu kila mmoja anamiliki mbili mbili.



Hakuna cha kujiuliza hapo zaidi ya kuachana naye unataka kujuwa ukweli upi tenaWakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
Mimi nilishawai kupewa pesa za matumizi na mwanamme aliyepata kumzalisha mpenzi wangu eti kampe hii mama Fulani kwa ajili yake na mtoto
Duuh nimecheka sana.Sasa unahitaji msaada wa watu wa marekani waje kukupa ndio uachane nae??
Kawaida????.Kupasha kiporo huwa ni jambo la kawaida
Wakuu
Hivi majuzi nilipata kuonana na msichana Fulani ambaye tulizoeana baada ya muda mfupi na hadi tukafikia hatua ya kuwa wapenzi. Na kwa kweli kwa Siku za mwanzo tulikuwa tunapendana sana labda kwa kuwa ni mwanzo. Lakini Jana ameniambia kuwa ana mimba na ni mimba ya MTU aliyekuwa naye kabla. Ameniomba tuachane kwa kuwa anahisi hanifai tens...hadi sasa nipo dilemma...
dah!!unaonaje ukimuacha tu yeye na baba kijacho wake waendelee kua pamoja.Au unataka kulea isiyokua yako?

Chief najaribu kuvaa viatu vyako. Naona jinsi unavo umia...inauma sana hyo ktu hasa ukiambiwa tuachane eti kisa ana mimba na ukifkilia umeshazama na ndo huez rudiana nae tena hadi ajifungue alee miaka zaid ya mitano baadae. So hurts.Mng'ang'anie tu kama unaona huwezi ishi bila yeye wakati warembo wote wa dunua hii ni halali yako.
mahondaw wangu... Kuna watu wanatabia mbaya sana...Mapenzi hayaa mhmmhmhmhmh
Cc Smart911
Yap....ninaweza hilo, na kama kuna mwingine mleteKwa hiyo unawapenda wote wawili kwa mpigo??![]()