Silali na mtu bila kupimaa mguu kwa mguu!
Kulamba tena[emoji15] cha msingi nitafanyia kazi ushauri wako[emoji120]Two weeks mnabinjuka pasipo wewe kujua hali yake...most likely hata kulamba sehemu za siri umefanya...
Muhimu ukipita muda fulani pima afya yako
Sina mood ya kucheka kaka ila at least umenifanya nitabasam[emoji4]Tayri wew labda kam kibamia Kama mm.. Mm nashkur kimensaidia sjapat had leo
Mi sikupata mchubuko by the time namtoa Bikra maana huwa naepuka sana friction [emoji120]Labda kwenye kumtoa bikra, ila kwingine chance ya kupata ngoma ni almost0
It depends [emoji120]Silali na mtu bila kupimaa mguu kwa mguu!
I also guess the same brow, maana juz alvokuja nimekuta nyeti zake zimebadilika sana[emoji42][emoji42] ila wadada wa chuo Mungu awasaidie tu maana nyeti zao zinatumika sana[emoji855]My guess;
Uyo bibie wakat una mbikiri hakua na ngoma,ngoma alikuja kuipata baada ya nyinyi kuachana kpnd mnaingia mwaka wa pili akaenda kutembea na Husband to be wake "meneja wa hoteli". Alivyojigundua ameukwaa naww kumtenga akaona hasife pekeake,akawa anakulazimisha aje na miss you nyingi nyingi. Ukanasa kwny mtego wake na malengo yake mawili yakatimia (umpe mimba na akupe ngoma)
Pole sana mdg wng, imeandikwa wanawake tuishi nao kwa akili. Ulimuacha kiukatili ndomana naye kakufanyia ukatili (it's my guess).
"Am out"
Last time kupima ilikua ni mwaka huu nilishiriki kwenye uchangiaji wa damu[emoji120]Wewe ushawahi kupima HIV kabla? Isije kuwa unamshutumu dada wa watu kumbe ngoma draw.
Aisee[emoji2297]Pole mkuu, maisha ya chuo yanachangamoto nyingi.
Sasa hayo maloroso akapata saa ngapi ktk hiyo masaa 24Rejea kusoma apo juu, nilimkuta na bikra mkuu na kipindi nipo nae sikuwah mhisi anachepuka maana nlikua nakaa nae 24 hrs na hata mchana tulikua tunafuatana kama kumbikumbi