Mpenzi wangu akivaa kondom dushelele linalala

Mpenzi wangu akivaa kondom dushelele linalala

jovitha mussa

Member
Joined
May 2, 2012
Posts
75
Reaction score
35
Wadau

naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.

anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.

kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom

ushauri wenu
 
Mwambie apunguze kitete huyo, Hana tatizo lolote la kiafya.
 
Wadau

naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.

anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.

kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom

ushauri wenu
Atakuwa ana wasiwasi fulani juu yako. Labda wewe anakuona mzuri sana kiasi cha kutoamini kama anakugegeda...
 
Wadau

naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.

anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.

kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom

ushauri wenu
Kuna rafiki yangu nae hupata problem exact kama hio,yeye alisema mekuwa akipaga punyeto tangu akiwa o-level miaka ya 1994 hadi leo, coz alisoma shule ya boys tupu. Pia aliniambia huwa anasex bila condom akipata mwanamke anaemwamini. Alipouliza kwa Doctor akajibiwa kuwa hali hio inatokana na mindset yake imekuwatuned kugegeda bila condom na kupiga punyeto kwa miaka mingi....! Maana nae akigegeda bila condom dushelele halilali na anaweza kusugua hata zaidi ya nusu saa bila kukojoa. sasa sijui huyo wako kama anafall kwenye hii category. Jaribu kumdadisi kama amewahi kupiga punyeto na kama hugegeda bila condom anapokuwa na demu mwingine zaidi yako. Pia wadau watachangia kama sababu hizo zinaweza kusababisha hali kama hio.
 
Na mim imewahi nitokea, nilichukua wale wa one night stand, dushelele ikashindwa kusimama lakin nikiwa na madem wengne inasimama fresh tu, dah nilishangaa sana, sijui nilikuwa naogopa,
 
Ni hali ya kutokujiamini inatokea sana kwa wengi , pia mshauri mkapime mle mchezo vizuri.
 
Wadau

naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.

anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.

kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom

ushauri wenu

easy...hapo ni psychological na confidence issues tu..inatakiwa mpate mda wa kutosha kujiandaa pia mue mshajitayarisha kisaikolojia.. mkiharakisha anakosa confidence ukichangia na ile mentality kwamba akivaa tu condom nanii inalala
 
Mawazo ya General solution ndo jibu muafaka wa hoja yako. Alipiga sana punyeto huyo jamaa ndo maana hali kama hiyo huwa inamtokea. Hali kama hii huwa inanikuta hata mimi mara kadhaa. Dawa ni kuacha kabisa punyeto mambo yatakuwa shwari
 
Wadau

naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.

anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.

kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom

ushauri wenu

huyo anaishi au alikwishawahi kuishi na mwanamke kama mme na mke, mara nyingi waliooa au walioishi na vimada kwa muda mrefu matumizi ya kondomu huwa yanawashinda kutokana na mazoea ya nyama kwa nyama.
 
Huwa anasema tatizo humtokea kwangu tu na hana historia kama hiyo kwa wanawake wengine japo tangu tuanze uhusiano hajawahi kujaribu kwa mwanamke mwingine. Sijafuatilia kwa ma ex wake. Nikimjua ntafanya utafiti nijue.
 
dah jf siku hizi title za thread hazina tafsida kabisa yaani!!!
 
inatokea mtu aki sense kitu tofauti na vile anavyodhani, usafi, maumbile nk
 
huyo anaishi au alikwishawahi kuishi na mwanamke kama mme na mke, mara nyingi waliooa au walioishi na vimada kwa muda mrefu matumizi ya kondomu huwa yanawashinda kutokana na mazoea ya nyama kwa nyama.

Sio kweli wewe mbona mie hata iwejje mechi za nje sichezi bila viatu na gemmu kama kawa.
 
Hapa ndo nnaposikitika kwa nini mimi bado bikra...

Sina experience kabisa. watu8 dadako msukuma kaninyima kabisa kasema mpaka ndoa...sigh!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom