estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Habari zenu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?
ila huyu kaka kunipenda ananipenda kweli ni matendo yake anayonionyeshea na nilisha mwambia mara nyingi sana tuachane na simuhutaji tena lakini amekuwa kinganganizi, hamuwezi amini nimeamua kubadilisha line ili nisiwe na mawasiliano nae. ninakaa nae maeneo ya home yani mpaka najuta kwa nini imetokea hivi mpaka yeye mwenyewe ananiambia sijui kwa nini mtu unayempenda kweli anakuwa hakupendi mpaka nimemuonea huruma
ila niseme ukweli huyu kaka napenda kweli kumsumbua yani nicheze na moyo wake nimuuzi ndo huwa nasikia raha kinachonichekesha hata kosa likawa langu huwa anaomba msamaha muda mwingine mpaka namuonea huruma... nafanya hivyo kwa sababu siko na malengo nae na enjoy tu nikifanya hivyo
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi?
ila huyu kaka kunipenda ananipenda kweli ni matendo yake anayonionyeshea na nilisha mwambia mara nyingi sana tuachane na simuhutaji tena lakini amekuwa kinganganizi, hamuwezi amini nimeamua kubadilisha line ili nisiwe na mawasiliano nae. ninakaa nae maeneo ya home yani mpaka najuta kwa nini imetokea hivi mpaka yeye mwenyewe ananiambia sijui kwa nini mtu unayempenda kweli anakuwa hakupendi mpaka nimemuonea huruma
ila niseme ukweli huyu kaka napenda kweli kumsumbua yani nicheze na moyo wake nimuuzi ndo huwa nasikia raha kinachonichekesha hata kosa likawa langu huwa anaomba msamaha muda mwingine mpaka namuonea huruma... nafanya hivyo kwa sababu siko na malengo nae na enjoy tu nikifanya hivyo