Na mim imewahi nitokea, nilichukua wale wa one night stand, dushelele ikashindwa kusimama lakin nikiwa na madem wengne inasimama fresh tu, dah nilishangaa sana, sijui nilikuwa naogopa,
Hilo ndiyo jibu la tatizo lake.umesema vema mdau.huyo anaishi au alikwishawahi kuishi na mwanamke kama mme na mke, mara nyingi waliooa au walioishi na vimada kwa muda mrefu matumizi ya kondomu huwa yanawashinda kutokana na mazoea ya nyama kwa nyama.
Teh teh kwi kwi kwi
Hivi wewe ukizibwa pumzi utapata nguvu ?
Mwambie apunguze kitete huyo, Hana tatizo lolote la kiafya.
teh teh kwi kwi kwi
hivi wewe ukizibwa pumzi utapata nguvu ?
Wadau
naomba niweke wazi, nina mpnz wangu ambaye nampenda sana na mimi pia najua ananipenda anaweza akawa anataka kujegeja na kama mpo mahala pa starehe unaona dushelele limetuna kwenye suruali hata saa nzima huku anakusumbua mkalale.
anakuwa ana nyege, mkifika room dushelele unakuta limesimama kama nguzo ya umeme. Hatujapima, tunatumia kondom. Tunafanya romance fresh, ila akianza kuvaa kondom tu dushelele linalala na anakuwa mnyonge.
kama sina haraka nkavumilia anarudi katika hali yake na dushelele likisimama lazima anikamue kweli kweli. Tatzo huwa sipati muda wa kutosha ni home wananibana na napata muda mfupi kuwa nae. Sijawah kufanya nae bila kondom
ushauri wenu
Punyeto is like madawa ya kulevya, solution ya kuacha ni kuoa tu. Mybe itasaidia
Mvinyo unaochachushwa muda mrefu ndio wenye thamani....endelea kusubiri tu!
Mmmh..!! Uzinzi huu.
Toka kwenye mvinyo mpaka kwenye mapenzi, ni vitu viwili tofauti