Ni hali ya kutokujiamini inatokea sana kwa wengi , pia mshauri mkapime mle mchezo vizuri.
kuna madhra kuangalia picha za x ? dadavua kidogoMchunguze huenda akawa anapenda sana kuangalia picha za X
Ni hali ya kutokujiamini inatokea sana kwa wengi , pia mshauri mkapime mle mchezo vizuri.
Umeolewa?
Ngono tu
Mchunguze huenda akawa anapenda sana kuangalia picha za X
Punyeto is like madawa ya kulevya, solution ya kuacha ni kuoa tu. Mybe itasaidiaMawazo ya General solution ndo jibu muafaka wa hoja yako. Alipiga sana punyeto huyo jamaa ndo maana hali kama hiyo huwa inamtokea. Hali kama hii huwa inanikuta hata mimi mara kadhaa. Dawa ni kuacha kabisa punyeto mambo yatakuwa shwari
Labda huwa inadhani taa imezimwa na imefunikwa shuka...ndio maana huwa inalala