Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Mpenzi wangu wa kwanza tulidumu miaka 3 lkn tangia tulipoachana hatujawai kukutana wala kusalimiana kwenye simu yani nimemsahau kabisaa ata sitamani kuwa nae ata angekuwa mbunge wa viti maalumu
Pole Mkuu kwa yaliyotokea
 
It is interesting...
Ila ungempa hi tu maana maisha ni safari. Au wew uliweka uadui kabisa?
 
Mkuu wewe sio kuwa umemkumbuka kwa kumpenda, ila ni baada ya kusikia na kujua ana kazi nzuri na wewe apeche alolo.
Acha kutafuta kitongo mkuu, pambana upate zako
Mkuu nimemkumbuka bila hiana yyt..kwan kumkumbuka mtu kuna ubaya gani?

Mkuu siku ni ndefu, namna ya kuimaliza ndy hivi kukumbushana
 
Daah mkuu umenikumbusha mbali, mpenzi wangu wa kwanza tulidumu miaka minne nilikuwa nampenda sana but sikufanikiwa kumla. aliniambia yeye ni bikra tusubiri mpaka tuoane ila baada ya kuachana nikasikia kuna mchizi kamtafuna na mimba juu,now ana mtoto wa kike ana miaka miwili. Inauma sana aisee
 
poleeee sana......hapo PUNYETO inahusika sana........unam-download tuu.......malizia mwenyewe........futa delete.....fanya yako
 
Una mindset tegemezi. Pogania maisha yako acha kuangalia nyuma. Zaidi utageuka nguzo ya chumvi tu. Ex wako hata akiwa rais wewe peta na maisha yako. Pambana na maisha yako. Unaanza kutamani tamani nini? Udwanzi .
 
Mkuu nimemkumbuka bila hiana yyt..kwan kumkumbuka mtu kuna ubaya gani?

Mkuu siku ni ndefu, namna ya kuimaliza ndy hivi kukumbushana
Ila si umesema ana kazi nzuri na mshahara mzuri?. Na kama bado mngekuwa pamoja, basi mngekuwa mbali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…