Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Kila mtu anavutiwa na baadhi ya fasheni hasa pale umpendae anapovaa basi roho inajisikia muruaaaa kabisa kiasi cha kwamba unatamani hata umtongoze tena..
Ni vazi gani linakuvutia zaidi akivaa baby wako na hata kama hajawai kuvaa ivyo basi unatamani siku moja avae namna hiyo?
Mimi binafsi baby wangu akiivalia skin jeans tumboni najisikia muruaaa kabisa yani napenda avae kuanzia tumboni na sio kiunoni...yani nikipishana na manzi kaivalia skin jeans tumboni lazima nimsemeshe kitu yani najikuta tu nimempenda ghafla
Ni vazi gani linakuvutia zaidi akivaa baby wako na hata kama hajawai kuvaa ivyo basi unatamani siku moja avae namna hiyo?
Mimi binafsi baby wangu akiivalia skin jeans tumboni najisikia muruaaa kabisa yani napenda avae kuanzia tumboni na sio kiunoni...yani nikipishana na manzi kaivalia skin jeans tumboni lazima nimsemeshe kitu yani najikuta tu nimempenda ghafla