B....Doooh namimi ntashona
Skirt rangi gani mkuu
Dark blue mkuu,ila usisahau kuachisha vishkizo viwili kutoka juu....Doooh namimi ntashona
Skirt rangi gani mkuu
Inategemea na suruali ya rangi gani siyo unavaa rangi ya kijani,nyekundu afu panaa kama kibanda cha mpesa aargh😀Mimi ninaevaa surual ya kitambaa na mashati nishakukosa....
Mimi hapa mkuu ila hiyo avatar hizo ndevu kwa mtoto vipi🏃♀️🏃♀️Hapa naweza kuvuta chombo mzee wa cardet
Doooh...yaani Mimi hivyo vibegi vya mgongoni...navionaga TU wanavaa...Nawaangalia TU...KWELI wanapendeza Sana...Kwakweli utu uzima dawa! Basi nikiviona hivo visendo huwa nasema hiii siwezi vaa aisee na tule tubegi tudogo twa mgongoni ila wanaovaa wanapendeza vizuri tuu
Acha tukubali tu fashion zingine zitupite tuDoooh...yaani Mimi hivyo vibegi vya mgongoni...navionaga TU wanavaa...Nawaangalia TU...KWELI wanapendeza Sana...
Yule mzee baba ambae alikua hapokei sim zako Anafanya kazi SGA nnMinadhani kungekuwa na vazi lafanana na walleti Lingempendeza ZAIDI...au vazi lafanana na Yale Magari yanayobeba mishahara...
.
Hizi jeans zake za Cadeti mi Wala hazinishtui...
Hapana ..mkuu...yule Ni mvaa kaunda SuitYule mzee baba ambae alikua hapokei sim zako Anafanya kazi SGA nn
Hahahaha...asee kweli umaridadi unafanya mtu upendweInategemea na suruali ya rangi gani siyo unavaa rangi ya kijani,nyekundu afu panaa kama kibanda cha mpesa aargh
Mkaka avae shati jeupe/bluu bahari na suruali nyeusi/dark blue dah! Hata mahari utapunguziwa mkuu atente
Hupendi rangi za kung'ara mkuuInategemea na suruali ya rangi gani siyo unavaa rangi ya kijani,nyekundu afu panaa kama kibanda cha mpesa aargh
Mkaka avae shati jeupe/bluu bahari na suruali nyeusi/dark blue dah! Hata mahari utapunguziwa mkuu atente
Kwakweli nishakosa babe hivi hivi! Vipi tunaovaa mabuti hutupendi hata kidogo?
Hahaa jeje pia sawa! Ila hivi vipi?Mabuti ya JeJe au la kuchumpa?
Iceberg9.Hapo unawaza game tu
Avae avaavyo...ajue TU majukumu yakeAvae jeans na yale mashati ya mikono mirefu na simple raba.
Khaa watu mna maneno😀😀Dela bila chura ni kanzu tu!