Mpenzi wako ana mpenzi wake wa kazini

Mpenzi wako ana mpenzi wake wa kazini

Hiki ni kichaka,kusema SIYO WOTE,my friend huyo unayeona siyo mmoja wao,ukisanitize simu yake,hutaamini.

Ulimwengu haujafika pabaya kiasi hicho ndugu yangu... Nakubaliana na Fikira zako na ni Kweli asilimia kubwa ya wanawake walioajiriwa ni changamoto katika mahusiano na hata NDOA ila wapo wenye misingi imara ya maadili hawatendi uchafu wa aina yoyote sio ngono tu
 
Kesho hiyooo mke wa mtu na office husband wake baada ya kumisiana wikiendi

20250605_091819.jpg

Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu
 
Hiki ni kichaka,kusema SIYO WOTE,my friend huyo unayeona siyo mmoja wao,ukisanitize simu yake,hutaamini.


Usisahau MAISHA ni karma 👉 unachokitenda kitakuludia tu tena kwa ukubwa Zaidi ya ulichetenda hivyo yoyote anaecheza na mke wa mtu mahali popote sio kazini tu na yeye mke wake atakuja achezewe tena Zaidi ya yeye alivyotenda ukifahamu hili kamwe huwezi kucomplain baut anything


usiogope kusalitiwa B'se anaekusaliti amekupa nafasi ya wewe kutukuka, MUNGU na resources zake zote mbingu na nchi na ulimwengu wote huwa upande wa aliye salitiwa tu hivyo atanyanyuka na kuonekana tu 👉ambaye hubaki upande wa msaliti ni ibilisi pekee yake
 
Back
Top Bottom