Usiombe wala usitamani ikukute. Nakumbuka mwaka 2017 kama sijakosea nilikua Arusha na Ke tukalala lodge, katikati ya mechi nikahisi utofauti mtu kalegea na kaanza kuwa wa barid hata kuongea anashindwa aiseee nilishtuka sana nikamuita mara tatu bila majibu. Nikatoka nje chap nikafata dawa bila kujua hata ana tatzo gan, njiani zilinijia kumbukumbu za wimbo wa husein machozi alafu bidada ni mtoto wa mjeshi mzee wake ni mkali sana. Nilifika duka la dawa nikiwa sina utulivu hata shati sijafunga, suruali yenyewe niliivaa tu bila chochote ndani yani nilivurugwa haswa. Nilimkuta mama wa kati ya 50-60 yrs mhudumu duka la dawa akaniomba nifunge shati then nikamueleza shida yangu ndio akanisaidia dawa na ushauri chap kwa haraka nikarudi lodge nikatoa huduma baada ya kama dakika 10 hivi nikaona hali imeanza kuwa shwari. Ilivyopita kama dakika 45 yule Ke akataka tuendeleze show, sijawai kataa ila moyo uliniambia hapana acha usifanye nikamvuta kifuani yeye akalala mimi sikupata usingizi mpaka kukakucha.