Mpenzi wako akifa ndani kwako utafanyaje?

Mpenzi wako akifa ndani kwako utafanyaje?

Nenda kwa mjumbe mpe taarifa.

Wewe na mjumbe mtaenda polisi kutoa taarifa.

Maiti itapelekwa hospitali. Wewe utakuwa mshukiwa namba moja hivyo utawekwa rumande na kuchukuliwa maelezo.

Mwili utafanyiwa autopsy ili kujua chanzo cha kifo. Lengo ni kujua kama ni natural death au kuna foul play.

Kama ni natural death hiyo kesi inakua haina locus standi kufunguliwa mahakamani so utaachiwa. Ikionekana kuna foul play mfano sumu hapa sasa show itakua ndefu.

NB. Usione naandika hivi ukadhani na askari wataenda step by step kama mimi unaweza shangaa upo gerezani kutumikia adhabu na mahakamani hukuwahi kwenda.

So you can just throw the whole ghetto away and elope to the nearest forest while figuring your next move.
Ila ili unasema kweli kabisa. Maana mangubale tunaishi nayo kisiri siri.. mmh!
 
Nilikuwa Tanga demu akaanza kuumwa tumbo usiku hadi analia hapo mie wala sijamgusa. Kusema kweli niliogopa sana na nilikuwa najiuliza huyu akifa hapa ndiyo nafanyaje?
Yule mrembo tulipendana sana na nilijua atakuwa mke wangu. Penzi letu lilisababisha ugomvi mkubwa kati ya dada yake na shemeji yake. Dada mtu ambaye alikuwa akiniona mimi kijana wa maana sana hadi kunisifia kwa wadogo zake wa kike baada ya kujua tu mdogo wake ni mpenzi wangu akanichukia vibaya sana hadi akaanza vitisho kwangu kwamba ataniroga 😂😂😂😂wakati mie nimeweka pamba masikioni. Shemeji alikuwa ananifagilia kwamba atuache na penzi letu hatimaye nao wakaanza kugombana kisa penzi letu. Dada mtu ndiyo akaamua kumhamishia binti Tanga kama vile Tanga na Dar umbali wake ni mbingu na ardhi 😂😂
Ukamrukia na Dar es Salaam.. 😀😀😀
 
Usiombe wala usitamani ikukute. Nakumbuka mwaka 2017 kama sijakosea nilikua Arusha na Ke tukalala lodge, katikati ya mechi nikahisi utofauti mtu kalegea na kaanza kuwa wa barid hata kuongea anashindwa aiseee nilishtuka sana nikamuita mara tatu bila majibu. Nikatoka nje chap nikafata dawa bila kujua hata ana tatzo gan, njiani zilinijia kumbukumbu za wimbo wa husein machozi alafu bidada ni mtoto wa mjeshi mzee wake ni mkali sana. Nilifika duka la dawa nikiwa sina utulivu hata shati sijafunga, suruali yenyewe niliivaa tu bila chochote ndani yani nilivurugwa haswa. Nilimkuta mama wa kati ya 50-60 yrs mhudumu duka la dawa akaniomba nifunge shati then nikamueleza shida yangu ndio akanisaidia dawa na ushauri chap kwa haraka nikarudi lodge nikatoa huduma baada ya kama dakika 10 hivi nikaona hali imeanza kuwa shwari. Ilivyopita kama dakika 45 yule Ke akataka tuendeleze show, sijawai kataa ila moyo uliniambia hapana acha usifanye nikamvuta kifuani yeye akalala mimi sikupata usingizi mpaka kukakucha.
Kama chai vile, ila acha ninywe tu 😀😀😀.. binadamu tuna hatari sana. Kulala na mtu chumbani na sio mkeo na kwao hawana information ni hatari sana
 
Tutafute reference kwenye hii case hapa chini, dada alishaachiwa?

Aliachiwa, watu wanaendelea kupeleka moto
 
Mpenzi wako, wazazi wake hawakujui...??
Utaishije na mtu ambae hujui akipata tatizo utawambia nani....?
 
Tutafute reference kwenye hii case hapa chini, dada alishaachiwa?


Basi kingkongtz ajisalimishe polisi, ataachiwa.
 
Nenda polisi kawajulishe kilichotokea
Watakuja na gari kumchukua watampeleka mortuary KWA uchunguz zaidi na wewe utasekwa rumande kupisha uchunguz
Na iyo ndo best option kwako

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app

Hivi kwanini polisi wasibadili utaratibu wa kesi kama hizo kuweka watu rumande kabla ya kukamilisha uchunguzi? Assume mtu amekufa kwa matatizo yake mwenyewe halafu unaenda kuripoti polisi nao wanakuweka ndani(lock up) kwa ajili ya uchunguzi kwanza,kwanini kusiwe na special house zenye hadhi sawa na nyumbani kuwahifadhi watuhumiwa wa design hiyo? Fikiria yule Mzee wa Goba kwa Ndambi Kapiga zake viagra kachukua Manzi ameenda kufa kifuani halafu unamkamata mwanamke unamuweka lock up akapate ukurutu bila sababu za msingi.
 
Nadhani kama ni kifo cha kawaida you won't be in trouble that much japo utasota sero wakati wa uchunguzi, kama umeriport mweneyewe itakusaidia zaidi maana hujaua ila amekufa kifo cha kawaida.
Friend of mine aliwahi kuchepuka na mke wa mtu kumbe bi dada anamatatizo ya moyo akazimia kwa masaa matano geto, kuanzia sa tano asubuhi mpka sa nne afu ni kijijini hakuna usafiri wa tax au bajaji useme angepeleka hospital kisiri, Alisalia akiomba Mungu amuepushe na kile kikombe.
Niliwahi muuliza askari mmoja wanamalizaje huu msala akasema kabla ya yote kisheria lazima utoe mahari kwanza ya marehemu maana ulimfanya mke wako kisiri hii mahari lazima ulipe( in case umekamatwa kwa kujipeleka au kusakwa)
Binafsi binti aliwahi kuzidiwa akiwa amelala kwangu. Nilichokifanya ni kuita tax sa nane usiku tukampleka hospital. Sikuwahi kuwa na wasiwasi kiasi kile katika maisha yangu but atleast I was confident hakuna nilichokifanya kilipelekea yeye kuumwa..
Mwisho vijana tuoe kutoka na mabinti za watu leo huyu kesho yule haileti picha nzuri.
ili nikuta Tanga utumishi, ni kapata kibint basi nikawasha moto kama dakika moja hivi naona nafanya peke yangu mtu kimya ikabidi kiberiti nikitoe kwanza.
Aisee kumbe mtu kazima, niliwaza mambo mengi sana, nilichomfanya kwanza nimemwaga maji kwenye sakafu ikawa ya baridi, pili nikamteremsha kitandan na kumlaza chini, tatu nikamfunika na taulo ambalo limeloa huku nikipiga dua.

Zaidi ya masaa matatu ndio kazinduka kulivyokucha nikamwambia aondoke sikutaka tena
 
Anaweza hata asiswekwe rumande. Inatagemea na mazingira ya kifo chenyewe.
Nenda polisi kawajulishe kilichotokea
Watakuja na gari kumchukua watampeleka mortuary KWA uchunguz zaidi na wewe utasekwa rumande kupisha uchunguz
Na iyo ndo best option kwako

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani kama polisi wanafanya kazi namna hiyo. Wamuweke tu rumande mtu aliyeenda kutoa taarifa kwa sababu mtu amefia kwake!
Nenda kwa mjumbe mpe taarifa.

Wewe na mjumbe mtaenda polisi kutoa taarifa.

Maiti itapelekwa hospitali. Wewe utakuwa mshukiwa namba moja hivyo utawekwa rumande na kuchukuliwa maelezo.

Mwili utafanyiwa autopsy ili kujua chanzo cha kifo. Lengo ni kujua kama ni natural death au kuna foul play.

Kama ni natural death hiyo kesi inakua haina locus standi kufunguliwa mahakamani so utaachiwa. Ikionekana kuna foul play mfano sumu hapa sasa show itakua ndefu.

NB. Usione naandika hivi ukadhani na askari wataenda step by step kama mimi unaweza shangaa upo gerezani kutumikia adhabu na mahakamani hukuwahi kwenda.

So you can just throw the whole ghetto away and elope to the nearest forest while figuring your next move.
 

Vijana mnapitia mengi
Usiombe wala usitamani ikukute. Nakumbuka mwaka 2017 kama sijakosea nilikua Arusha na Ke tukalala lodge, katikati ya mechi nikahisi utofauti mtu kalegea na kaanza kuwa wa barid hata kuongea anashindwa aiseee nilishtuka sana nikamuita mara tatu bila majibu. Nikatoka nje chap nikafata dawa bila kujua hata ana tatzo gan, njiani zilinijia kumbukumbu za wimbo wa husein machozi alafu bidada ni mtoto wa mjeshi mzee wake ni mkali sana. Nilifika duka la dawa nikiwa sina utulivu hata shati sijafunga, suruali yenyewe niliivaa tu bila chochote ndani yani nilivurugwa haswa. Nilimkuta mama wa kati ya 50-60 yrs mhudumu duka la dawa akaniomba nifunge shati then nikamueleza shida yangu ndio akanisaidia dawa na ushauri chap kwa haraka nikarudi lodge nikatoa huduma baada ya kama dakika 10 hivi nikaona hali imeanza kuwa shwari. Ilivyopita kama dakika 45 yule Ke akataka tuendeleze show, sijawai kataa ila moyo uliniambia hapana acha usifanye nikamvuta kifuani yeye akalala mimi sikupata usingizi mpaka kukakucha.
 
Nadhani kama ni kifo cha kawaida you won't be in trouble that much japo utasota sero wakati wa uchunguzi, kama umeriport mweneyewe itakusaidia zaidi maana hujaua ila amekufa kifo cha kawaida.
Friend of mine aliwahi kuchepuka na mke wa mtu kumbe bi dada anamatatizo ya moyo akazimia kwa masaa matano geto, kuanzia sa tano asubuhi mpka sa nne afu ni kijijini hakuna usafiri wa tax au bajaji useme angepeleka hospital kisiri, Alisalia akiomba Mungu amuepushe na kile kikombe.
Niliwahi muuliza askari mmoja wanamalizaje huu msala akasema kabla ya yote kisheria lazima utoe mahari kwanza ya marehemu maana ulimfanya mke wako kisiri hii mahari lazima ulipe( in case umekamatwa kwa kujipeleka au kusakwa)
Binafsi binti aliwahi kuzidiwa akiwa amelala kwangu. Nilichokifanya ni kuita tax sa nane usiku tukampleka hospital. Sikuwahi kuwa na wasiwasi kiasi kile katika maisha yangu but atleast I was confident hakuna nilichokifanya kilipelekea yeye kuumwa..
Mwisho vijana tuoe kutoka na mabinti za watu leo huyu kesho yule haileti picha nzuri.
Alizima kwa masaa matano kuanzia saa tano asubuhi hadi sa Nne!? Sijakuelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom