Mpenzi wa kwanza maishani hasahauliki?

Mpenzi wa kwanza maishani hasahauliki?

Matatizo ya nn wakat dem anamkumbuka aliefuata zaid ya wakwanza

Kumbukumbu inakuja sio ya kuwa umekuwa wa kwanza kumbikiri, Kumbukumbu inakuja ya kuwa umekuwa wa kwanza kumpenda na ku treat kama mwanamke anavyotakiwa kuwa treated.

Unaweza kuwa wa kwanza kumbikiri lakini kwenye relationship ukachemsha ila atakuwa tu na wewe sababu hajaonja relationship tofauti na yako
 
Ama bado u bikra au Una neema, Si bure, Chezea first love.
^^

Hapo mmeongea point wote wawili bila kujua. Himidini First love hasahauliki ila mtu aliyetoa bikiri kuna uwezekano mkubwa akasahaulika.

Chamuhimu ni mapenzi ya dhati. Unaweza ukawa ulikuwa kwenye relationship zaidi ya 20, lakini yule wa 21 ndio akawa u r first love.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ukweli wowote juu ya hilo labda inategemea mtu na mtu...kwangu mie cjui hata kafilia wapi na cmkumbuki tyuu!!!

Sema una hacra nae tu labda kutokana na mazingira mlio pigana chini. Ss km hukumbuki unakumbuka bikra yako ilitolewaga na nn, nng'e?
 
Sawa, ila mimi simkumbuki hata jina lake

Huo ni uongo wa mchana kweupe. Sema inategemea ulibikiriwa ktk mazngira gani, wengine ilikiwa utoto akajikuta amefanya na anajutia kufanya na huyo mtu kwakua hakumpenda toka moyoni na alifata mkumbo. Akija kijitambia km she was wrong na alifanya kwa kushinikizwa kitokana na uwelwa mdogo, hawezi sahau lkn hawez kuwa na mapenz na huyo mtu au km alimfanya kinguvu bila bint kiridhia, atamchukia. Lakini kaba binti alipenda na jamaa kambikiri vizuri hadi binti akafirahi, hatomsahau maishani kwani first love inanguvu kubwa na moyo wako wote inakua umezama tofauti na sasa mguu nje mguu ndani
 
Penzi in penzi la kwanza ndio linalo kufunza maji usiite MMAA..
 
Back
Top Bottom