Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
Aisee tupo tofauti, sikumbuki chochote
Ama bado u bikra au Una neema, Si bure, Chezea first love.
^^
Aisee tupo tofauti, sikumbuki chochote
jf watu wapya wamekuja kuleta fujo tu humu nyuzi zinarudiwa rudiwa na upumbavu mwingi
jf watu wapya wamekuja kuleta fujo tu humu nyuzi zinarudiwa rudiwa na upumbavu mwingi
mith u
Kuna uwezekano mkubwa anayefungua mlango akasahaulika, kuliko aliyefuatia. Maana utamu anaanza kuupata baada ya yule wa kwanza.
Mwanzo alikuwa anakula ugali maharage kila siku sasa pata picha siku hiyo amepiga wali nyama
My X once told me and kept saying "wewe ndio umenifundisha huu mchezo, ckujua kama iko hivi, the bikra remover nilikua nampa tu just to make him happy lkn nilikua sipat raha yyte zaid nikiona kero. We r no longer lovers as I said but she's my best friend, of course. Never forget you is what she has on the back of her mind.
Call me mullaX.....
Wana MMU eti huu mtazamo huwa ni kweli au?
Kuna watu wanasema huwezi kumsahau mpenzi wako wa kwanza.Tena kwa KE anamkumbuka mtu wake wa kwanza aliyemtoa usichana,atakumbuka mahali alipotolewa,mchezo ulivyokuwa na mengineyo!Kumbukumbu hii hukaa mpaka kifo
Nimewauliza wamesema sio kweli.....Basi niulizie kwa dada na mama yako tusikie na majibu yao yatakuwa yapi!
Wana MMU eti huu mtazamo huwa ni kweli au?
Kuna watu wanasema huwezi kumsahau mpenzi wako wa kwanza.Tena kwa KE anamkumbuka mtu wake wa kwanza aliyemtoa usichana,atakumbuka mahali alipotolewa,mchezo ulivyokuwa na mengineyo!Kumbukumbu hii hukaa mpaka kifo
simkumbuki hata Jina
Hasahauliki ye mzazi wangu???